Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hii sijui kama iliwafikia wanajamvi.? 👇.
Hii picha moja mtazungusha humu hadi lini? Kwani hii ilala yenu ni hiyo tu sehemu moja hakuna picha zingine? Halafu nyumba ziko wapi hapo?
Usife kwa wivu we jamaa, maneno yote ya nini.? Mwenzako alitaka aonyeshwe 2023 ilala .imekuumiza kichwa hivyo.?Hii picha moja mtazungusha humu hadi lini? Kwani hii ilala yenu ni hiyo tu sehemu moja hakuna picha zingine? Halafu nyumba ziko wapi hapo?
Hata Pangani imejengeka kuliko hiyo maziwa lala yenu View attachment 2551358View attachment 2551359View attachment 2551360View attachment 2551361View attachment 2551362View attachment 2551363
Kama kawaida vumbi tupuDkt.John Pombe Magufuli Sekondari Skuli Zanzibar
View attachment 2551349View attachment 2551350View attachment 2551351View attachment 2551353View attachment 2551354View attachment 2551355
Si mwenzangu, ni mimi niliitisha ila kila nikiitisha picha ni hiyo hiyo moja ya kujiliwaza. That says a lot about hiyo ilala yenu. Haina cha kuonyesha kando na hiyo picha moja inayozungushwa hapa na kila mtuUsife kwa wivu we jamaa, maneno yote ya nini.? Mwenzako alitaka aonyeshwe 2023 ilala .imekuumiza kichwa hivyo.?
battle imewashinda hii siku nyingiKama kawaida vumbi tupu
Nionyeshe uwanja wa mpira hapo.battle imewashinda hii siku nyingi
Kunyaland haitotokea siku iipite Tanzania kwenye shule bora!
Franciscan seminary Maua, Kilimanjaro Tanzania
View attachment 2551405View attachment 2551406View attachment 2551407View attachment 2551408View attachment 2551409View attachment 2551410View attachment 2551411View attachment 2551412View attachment 2551413View attachment 2551414View attachment 2551415View attachment 2551416
Nionyeshe uwanja wa mpira hapo.
🤣 🤣 🤣