The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Muulize hiyo Gormahia Iko kwenye mashindano Gani sahiiInacharaza na haiendi kokote 🤣🤣 inabakia haina pesa ya wachezaji wala choo haina
Timu yenye haina mafanikio ndio inacharaza timu zote za Tanganyika na Zanzibar combined 😂😂😂Gor mahi ni team haina mafanikio haina mbele wala nyuma 😆😆😆 haina hata ofisi wala choo cha ofisi, gari lemyewe wamepewa na tuzo sio gari sio wazimu
Akili zao hua zinarudi nyuma badala kwenda mbele 😆😆😆😆Matokeo ya Gormahia vs Yanga hivi karibuni, mechi ilichezwa tareh 29/7/2018 .. miaka mitano iliyopita .. ni history tu .. sahii Gormahia imeshajifia zake . Yanga still inapeleka moto uko kombe la shirikisho,
Team haina hata choo wachilia mbali ofisi itacheza ligi gani ??🤣🤣🤣🤣Muulize hiyo Gormahia Iko kwenye mashindano Gani sahii
Hao ni time travelers Bro, they travel back in those daysAkili zao hua zinarudi nyuma badala kwenda mbele 😆😆😆😆
Those are not best pictures za Nairobi for your information. Hapo nimeweka hadi picha za Githurai, Kayole na Kariobangi which most publications consider as slums. Sasa nikiweka za Runda, Muthaiga na maeneo kama hayo utasemaje? 😂😂Always comparing best Nairobi pics vs worst Dar es salaam pics
Acha Dar iendelee kuwanyima usingizi
Watanzania wapo watanoKatika hiyo uliyoweka watanzania wapo wanne
Matha Mwaipaja ma Bahati Bukuku ni watanzania.
Huku chini kabisa kuna Jay Melody mtanzania pia.
Ndio yale yale nasema hapa wanadhani bado tanzania ni ile ya 90s🤣🤣🤣 hii jamii forum imewafungua sana macho na hawaamini mpaka keshoHao ni time travelers Bro, they travel back in those days
Kenya nzima hakuna shule kama hii.St Peter Claver High School , Dodoma - Tanzania (06.April.2019) - Foggy Morning
View attachment 2550445View attachment 2550446View attachment 2550447View attachment 2550448View attachment 2550449View attachment 2550450View attachment 2550451View attachment 2550452
Timu yenye haina mafanikio ndio inacharaza timu zote za Tanganyika na Zanzibar combined 😂😂😂Gor mahi ni team haina mafanikio haina mbele wala nyuma 😆😆😆 haina hata ofisi wala choo cha ofisi, gari lemyewe wamepewa na tuzo sio gari sio wazimu
Tunaona maendeleo kwanza kuona kampuni kubwa ya ulaya haier ina saini na yanga 1.5b tsh udhamini kwa mechi 6 tu just imagine
View attachment 2550757
Nimeona na tonny fleva na marioo piaWatanzania wapo watano
Martha Mwaipaja
Bahati Bukuku
Alikiba
Zuchu
Jay Melody
Timu yenye haina mafanikio ndio inacharaza timu zote za Tanganyika na Zanzibar combined 😂😂😂
Gor Mahia will rape Tanzanian teams no matter what. You can arrange for a match tomorrow between Gor Mahia and Tanzania all stars uone vile Gor inawanyorosha😂😂Matokeo ya Gormahia vs Yanga hivi karibuni, mechi ilichezwa tareh 29/7/2018 .. miaka mitano iliyopita .. ni history tu .. sahii Gormahia imeshajifia zake . Yanga still inapeleka moto uko kombe la shirikisho,
Hello time traveler.. Gormahia Iko mashindano Gani sahii.?Gor Mahia will rape Tanzanian teams no matter what. You can arrange for a match tomorrow between Gor Mahia and Tanzania all stars uone vile Gor inawanyorosha😂😂
Gor is the only East African team to ever won CAF confederation cup.😂😂Inacharaza na haiendi kokote 🤣🤣 inabakia haina pesa ya wachezaji wala choo haina
😂😂😂😂Kama data zinasema hvo kwann nisiamini au misri iko europe ???🤣🤣🤣🤣
Hey baboon, Kenya was banned by FIFA so we can't participate in any FIFA regulated games.Muulize hiyo Gormahia Iko kwenye mashindano Gani sahii
Tuletee hata mdhamini mmoja anaedhamini gor mahia 🤣🤣🤣 yanga ina dhaminiwa na 👇👇👇Timu yenye haina mafanikio ndio inacharaza timu zote za Tanganyika na Zanzibar combined 😂😂😂