Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Ilala can't even compete with Pangani 😂😂Hebu nipe picha tano tu za Ilala tuone huo uzuri 😃😃
Ilala can't even compete with Pangani 😂😂Hebu nipe picha tano tu za Ilala tuone huo uzuri 😃😃
Hii ulikua ni mwaka gani.?
Sasa hivi Kiswahili ni lugha ya Mwingereza ama Mwafrika? Tukiwaambia nyinyi ndio watumwa mnatuona wachokozi. 🤣 🤣Sisi tunatumia Kiswahili lahaja ya Kiunguja. Ni tofauti na hizo lahaja zinazopatikana kwenye Pwani ya Kenya, kumbuka Kiswahili kimeanza Pwani ya Africa mashariki kuanzia Somalia Hadi Msumbiji
Mwingereza alisanifisha lahaja ya Kiunguja na kuifanya iwe Official Kiswahili language na ndio Kiswahili tunachotumia modern days. Lahaja zote za Kenya zikapigwa chini
Lahaja ya Kiunguja asili yake ni Zanzibar, kumbuka Zanzibar ni Tanzania. Na Kiunguja ndio Kiswahili kinachotambulika kimataifa pia ndio tunachotumia Sasa. Hicho cha Kenya, Somalia sijui Msumbiji vyote mzungu alivipiga chini![]()
Ulikua mwaka gani mzee, kuna wengine walikua hawajazaliwa.. au bado upo 2G.?
Wewe unazungumzia kuhusu nini mbweha wewe, wenye Kiswahili chetu tupo ndani saa hiiSasa hivi Kiswahili ni lugha ya Mwingereza ama Mwafrika? Tukiwaambia nyinyi ndio watumwa mnatuona wachokozi. 🤣 🤣
That was their recent encounter in 2019.Ulikua mwaka gani mzee, kuna wengine walikua hawajazaliwa.. au bado upo 2G.?
Team za tanzania 2023 just imagine🤣🤣 na huwez sikia tunaongea humu ndaniThat was their recent encounter in 2019.
Hata Pangani bado inaizidi ilala kwa mbali sana.Ilala can't even compete with Pangani 😂😂
Sasa wewe unaamini Misri ina masikini wengi kuliko Tanzania? 😂😂Utsema kavuta ngada manake kazunguka weee ila kisu kakutana nacho 🤣🤣🤣
Katika hiyo uliyoweka watanzania wapo wanneNimefurah kuona kati ya top 5 trending in kenya wasanii watanzania ni watatu kati yao asanteni sana wakenya 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2550751
Ok nilikua sijui bro 😆😆😆Katika hiyo uliyoweka watanzania wapo wanne
Matha Mwaipaja ma Bahati Bukuku ni watanzania.
Huku chini kabisa kuna Jay Melody mtanzania pia.
Sasa group stage pia ni kitu ya kupigia kelele? Siku hizo timu zenu zitakutana na Gor Mahia tena ndio mtajua they are just pretenders.Team za tanzania 2023 just imagine🤣🤣 na huwez sikia tunaongea humu ndani
View attachment 2550744
View attachment 2550746
Misri ina population of over 100m unategemea wote watakua matajiri au??🤣Sasa wewe unaamini Misri ina masikini wengi kuliko Tanzania? 😂😂
Kumuelimisha mtanganyika ni kazi sana
Sasa tunaenda robo fainali kaa mkao wakula team zote zinaingia robo fainali na ukumbuke kila stage hapo ni pesa tu zinaingia 🤣🤣🤣🤣🤣Sasa group stage pia ni kitu ya kupigia kelele? Siku hizo timu zenu zitakutana na Gor Mahia tena ndio mtajua they are just pretenders.