NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Yaani sijui kwa nini Za Mo wale wakulungwa hawazichukui, zipo kila Kona mtaani, Kuna Jamaa wa World Bank alikua ananiuliza nini cha kufanya maana aliona interview ya Mo CNN anavyosema anavyolinda mazingira na recycling lakini chupa za Mo extra zimezagaa kwenye mitaro na mtaani, Huwezi kuta Chupa zingine zimezagaa kama zake.Ya K vant hujaona?![]()







