Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwamba Tanzania inashinda hadi USA, a country of over 200 million people and where almost everybody owns a car😂😂😂😂😂😂
Kwa kujiliwaza hamjambo mibongolaa!
Kwa hiyo number nashangaa mbona Japanese manufacturers hawaweki plants hapo Bongo. Kenya tuna Isuzu Toyota na Nissan na bado wanasema wako mbele yetu.🤣🤣
 
Alliance High School - A public School

alliance.jpg
We jamaa bado mshamba sana.
Issue za shule tulishaziongelea humu miaka mingi iliyopita. Tuliwapiga hands down. Now we are talking about Economy.
Do you know the meaning of GDP?
G20 ilitokana na nini?
 
Jiji lenu ni uswazi mwanzo mwisho. Kuna tofauti gani kati ya hapo Msimbazi na Gongo la mboto, Vingunguti, Gongo la mboto, Keko, Tabata, Mazense, Tandale, Buguruni na maeneo mengine ambazo zote ni uswazi?
Tofauti ya uswazi na slums ni kwamba uswazi ni nyumba ambazo hazina mpangilio, slums ni nyumba ambazo hazina mpangilio na ni hatari kuishi binadamu wa kawaida. Uswazini kuna nyumba zina kila kitu na mpk nyumba za kishua unazikuta, lkn slums ni nyumba za mabati, makuti na tope zilizozungukwa na kinyesi cha binadamu, kuku, mbwa, ng'ombe na kila kitu.

Kenya nzima imezungukwa na ma slums ya kila aina na ndiyo maana hata life span ya mkenya ni ndogo kulinganisha na mtanzania, inasadikika kwa ss pale Nairobi kuna over 3 milion slum dwellers na nna uhakika more than 100% hata wewe ni slum dweller.

Angalia hapa ni data ya 2019, Nairobi pekee kuna slum dwellers over 2m.
Screenshot_20230312-214934.jpg
 
They'll use all manner of adjectives to demean GDP but deep inside, wanatamani sana uchumi kubwa
Mitanganyika jamani!
Kwa ss hamna guts za kuongelea uchumi mbele ya Tz, kaongeeni na Burundi huko, for now tunawakaribisha kuomba misaada ya kuwapa pesa mana hamna uwezo wa kujilisha japo kwa mwezi mmoja bila mkopo.
 
Kwamba Tanzania inashinda hadi USA, a country of over 200 million people and where almost everybody owns a car😂😂😂😂😂😂
Kwa kujiliwaza hamjambo mibongolaa!
america wanatumia gari zao wenyewe na za europe pia kwa gari za japan ni chache america so unategemea nn hvi nyinyi shule hua munaenda kusoma kitu gani hata kufiria hilo pia huwezi 🤣🤣🤣🤣
 
Tofauti ya uswazi na slums ni kwamba uswazi ni nyumba ambazo hazina mpangilio, slums ni nyumba ambazo hazina mpangilio na ni hatari kuishi binadamu wa kawaida. Uswazini kuna nyumba zina kila kitu na mpk nyumba za kishua unazikuta, lkn slums ni nyumba za mabati, makuti na tope zilizozungukwa na kinyesi cha binadamu, kuku, mbwa, ng'ombe na kila kitu.

Kenya nzima imezungukwa na ma slums ya kila aina na ndiyo maana hata life span ya mkenya ni ndogo kulinganisha na mtanzania, inasadikika kwa ss pale Nairobi kuna over 3 milion slum dwellers na nna uhakika more than 100% hata wewe ni slum dweller.

Angalia hapa ni data ya 2019, Nairobi pekee kuna slum dwellers over 2m.View attachment 2547939
Kwamba hapa kuna kila kitu na nyumba za kishua? 😂😂😂


Kama barabara yenyewe haipo sasa ni kipi inasema kipo? Wacha kunatumia nguvu nyingi kutetea ujinga za uswazi
Screenshot_20220527-004137~2.png
Screenshot_20220527-004123~2.png
Screenshot_20220527-004137~2.png
Screenshot_20220527-004123~2.png
Screenshot_20220527-003427~2.png
Screenshot_20220527-004329~2.png
Screenshot_20220527-004307~2.png
Screenshot_20220527-004414~2.png

Githurai, an area where 90%
of the houses are apartment blocks, is considered a slum in Nairobi ila sioni nyumba ya mabati hapa and it's well organized than your uswazi hovels above
images - 2023-03-12T220657.407.jpeg
images - 2023-03-12T220729.630.jpeg
images - 2023-03-12T220854.953.jpeg
images - 2023-03-12T220832.753.jpeg
images - 2023-03-12T220813.803.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-003956~2.png
    Screenshot_20220527-003956~2.png
    479.7 KB · Views: 8
Back
Top Bottom