Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dussaland_1678604447501364.jpg

mydaressalaam_1678605163712927.jpg


in_daressalaam_1678605467553736.jpg


in_daressalaam_1678605095670746.jpg


gecko.adventure_1678606148436257.jpg

mydaressalaam_1678607964919843.jpg


franktemba__1678608035534807.jpg

Kwa uchache tu niwaambie majirani wasichukulie poa kwny uwekezaji wa BRT, Visions,Fund pamoja na commitment vinahitajika kwa kiasi kikubwa,akili ya kijuakali pale Thika inasikitisha sana. Kwa taarifa soon tutaanza kuimpliment mradi wa Treni za mjini pale karibu na Serena Hotel kuna mpango wa kuweka subway wakati huo treni itakuwa ikipita juu kwa juu kutokea Tegeta huko kama sio Bagamoyo kbs mpk city center!. Dah.
 
Mods bhn, ilikuwa ubishani wa mechi aisee nilitabiri Arsenal hatoshinda hiyo mechi na kama akishinda nipigwe ban ya wiki nzima, basi kweli bhn mpk dk ya 80 hvii ngoma Arsenal keshapigwa, heee dk ya 90 si akachomoa, wkt dk zikiwa zimeshaisha si wakaongeza cha pili bhn, basi fans wa Arsenal wakamganda Active anilime ban, nikapigwa kweli bhn
Screenshot_20230305-205826.jpg
 
Mods bhn, ilikuwa ubishani wa mechi aisee nilitabiri Arsenal hatoshinda hiyo mechi na kama akishinda nipigwe ban ya wiki nzima, basi kweli bhn mpk dk ya 80 hvii ngoma Arsenal keshapigwa, heee dk ya 90 si akachomoa, wkt dk zikiwa zimeshaisha si wakaongeza cha pili bhn, basi fans wa Arsenal wakamganda Active anilime ban, nikapigwa kweli bhn View attachment 2547269
hahahaha, pole Sana mkuu. Na Mimi ninatoa ahadi; Endapo KDF watafanikiwa kuwafurusha M23 huko DRC, nipigwe ban ya mwaka mzima.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mods bhn, ilikuwa ubishani wa mechi aisee nilitabiri Arsenal hatoshinda hiyo mechi na kama akishinda nipigwe ban ya wiki nzima, basi kweli bhn mpk dk ya 80 hvii ngoma Arsenal keshapigwa, heee dk ya 90 si akachomoa, wkt dk zikiwa zimeshaisha si wakaongeza cha pili bhn, basi fans wa Arsenal wakamganda Active anilime ban, nikapigwa kweli bhn View attachment 2547269
kisa chako ni bab kubwa mzee wa kazi,mashabiki wa arsenal siyo poa@
 
Mods bhn, ilikuwa ubishani wa mechi aisee nilitabiri Arsenal hatoshinda hiyo mechi na kama akishinda nipigwe ban ya wiki nzima, basi kweli bhn mpk dk ya 80 hvii ngoma Arsenal keshapigwa, heee dk ya 90 si akachomoa, wkt dk zikiwa zimeshaisha si wakaongeza cha pili bhn, basi fans wa Arsenal wakamganda Active anilime ban, nikapigwa kweli bhn View attachment 2547269
Welcome back brother.

Nilishangaa why.
 
Back
Top Bottom