Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Loreto High School - Limuru

slider1.jpg
 
Kwa hiyo number nashangaa mbona Japanese manufacturers hawaweki plants hapo Bongo. Kenya tuna Isuzu Toyota na Nissan na bado wanasema wako mbele yetu.🤣🤣
plant au magumashi mbona munaagiza gari japan kama muna plant 🤣 na hio plant ya isuzu kazi yake ni kugeuza gari za mizigo kua za abiria tu eti toyota wakat kila leo munaagiza probox kutoka japan
 
america wanatumia gari zao wenyewe na za europe pia kwa gari za japan ni chache america so unategemea nn hvi nyinyi shule hua munaenda kusoma kitu gani hata kufiria hilo pia huwezi 🤣🤣🤣🤣
Ni wapi "data" ya huyo kilaza mwenzako imetaja make Ama origin ya gari? 😂😂😂
Kwamba wewe pia unaamini Tanzania kuna magari kuzidi USA na Japan, nchi ambazo zinatengeneza magari? 😂😂😂
 
Ni wapi "data" ya huyo kilaza mwenzako imetaja make Ama origin ya gari? 😂😂😂
Kwamba wewe pia unaamini Tanzania kuna magari kuzidi USA na Japan, nchi ambazo zinatengeneza magari? 😂😂😂
Ww ni chizi hzo nigari zinazoagizwa kutoka japan 🤣🤣🤣🤣
 
It is a public school bongolala. It was founded by the missionaries but was later acquired by the government 100%, just like many Catholic schools in Kenya.

Even my own former Primary school was founded by the Missionaries but it's 100% owned by the government
There is no school built by the Kenyan government. Show us any school built after independence.
 
It is a public school bongolala. It was founded by the missionaries but was later acquired by the government 100%, just like many Catholic schools in Kenya.

Even my own former Primary school was founded by the Missionaries but it's 100% owned by the government
Muelewe alichozungumza kua shule nyingi mumerithi kutoka kwa wakoloni yani nyinyi hamuna uwezo wa kujenga shule kama hzo za public ikiwa chakula hamuna vipi kuhusu shule 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti mke wa rais anatoka america mpaka kenya kuleta pesa za kununulia chakula kenya 😆😆 yani mm nilifkiri atleast analeta pesa wajenge mashule au hospitali au wachimbe visima vya maji etc kumbe hela ya kununulia unga alaf waniambie nchi haijalaaniwa hio
 
There is no school built by the Kenyan government. Show us any school built after independence.
I said they were FOUNDED by the missionaries, not built by them. Get the difference kijana wa Tandale.
 
Muelewe alichozungumza kua shule nyingi mumerithi kutoka kwa wakoloni yani nyinyi hamuna uwezo wa kujenga shule kama hzo za public ikiwa chakula hamuna vipi kuhusu shule 🤣🤣🤣🤣🤣
The primary school school I am referring to in this case was founded in 1987. Was Kenya still a colony in 1987?
images - 2023-03-12T222605.220.jpeg
 
Back
Top Bottom