Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya inaongoza kwa uchawi East and Central Africa.
Screenshot_20230227-093225.jpg
 
Mods bhn, ilikuwa ubishani wa mechi aisee nilitabiri Arsenal hatoshinda hiyo mechi na kama akishinda nipigwe ban ya wiki nzima, basi kweli bhn mpk dk ya 80 hvii ngoma Arsenal keshapigwa, heee dk ya 90 si akachomoa, wkt dk zikiwa zimeshaisha si wakaongeza cha pili bhn, basi fans wa Arsenal wakamganda Active anilime ban, nikapigwa kweli bhn View attachment 2547269
Pole mwanangu 😂😂😂
 
Jamaa tukiwaambia kwamba Tz watu wanasafari kinoma hawataki kuamini.. imagine licha ya kampuni nyingi za Mabasi zilizopo Tanga zinazofanya safari zake Tanga-Dar pekee lakini leo wakati nipo kwenye Kampuni ya Mabasi ratco tayari kwa ku book ticket yangu kurejea mjini,muuni nikakutana na hii ratiba ya safari za TA-DSM daily
IMG_20230312_130332_129.jpg
hii ni ratiba ya ratco pekee..
 
Back
Top Bottom