Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Huyo kilaza hajielewiSpot on, exactly.
Huyo kilaza hajielewiSpot on, exactly.
Sasa mbona mnatusumbua kuja kuomba tuwape pesa za kigeni kwa ajili ya kununua mafuta toka nje?, Kwanini makampuni na wafanyabiashara wenu wanakuja kutafuta $ zetu Ili waagize bidhaa toka nje?.Umejikaza kujieleza ndivyo unavyofikiria Kenya ilivyo., pole sana.., isolated cases sio picha ya taifa kama unavyotamani ikue wewe, alafu sijaona sehemu mtu amekufa kwa njaa.., ama wewe umeona unijuze na evidence in 2023?.., wachana na siasa zetu zitambe, tunajijua wenyewe, na tutaelewana, nyie endeleeni kuzubaa na hamna lolote la maana..., hauwelewi uchumi ata kidogo..., unakurupuka tu kimandazi, tafuta elimu kwanza kisha uje...,
Wenzenu wanaiba hela, nyie mnashangilia kuwa na millionaires wengi, wezi wa fedha za umma
DGP is just gross domestic product. Ki ufupi ni kwamba uzalishaji wetu ipo juu kuwazidi. Inauma ila mtazoea tuKama ambavyo ninyi mkidhindwa hoja mnavyokimbilia kujificha nyuma ya GDP.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kesho utatokea kwenye maandamano ya "baba"?😂Mbona imejulikana, nyie mnatafunwa tangu uhuru na bado mpo mpo tu.., maana ya CCM ni Chama Cha Mafala kiukweli...,
Nilikuambia tafuta elimu ya uchumi kisha uje., uko na uelewa finyu mno.., sasa nyie mko juu ya Egypt kwa vile hii recession imewakamua zaidi kifedha? hadi makampuni yao kadhaa wameuzia nchi zingine za kiarabu kama Qatar na UAE kupata dollar, wewe ni boya mzee..., tafuta uelewa..,Sasa mbona mnatusumbua kuja kuomba tuwape pesa za kigeni kwa ajili ya kununua mafuta toka nje?, Kwanini makampuni na wafanyabiashara wenu wanakuja kutafuta $ zetu Ili waagize bidhaa toka nje?.
Porojo.., nusu ya nchi wapi?.., mbona unasukumwa na wivu na chuki?., Mambo ya Matiang'i wewe yanakuuma kwa nini? wacha apambane na hali yake.., Raila ako na uhuru wa kufikiria anavyotaka, wacha mzee ajiliwaze anavyojua yeye., wewe pambana na ufukara wenu ulio wazi, licha ya amani bandia kisa ushamba na kutoelewa na uoga uoga..,Nchi yenu haina usalama karibu nusu ya nchi Kuna bandits, huku Rutto anapambana na Matiang'i analipiza kisasi, ukigeuka huku Raila anadai ameibiwa kura anaitisha maandamano ya kuingasha serikali.
Nchi gani hizo zinajenga uchumi haswa Tanzania? miradi zinajikokota haziishi, wananchi wamezubaa mpo mpo tu, hamuulizi maswali kazi nikubweka kwa JF.., idiots.., sasa nyie ndio wapuzi, kaa mtazame vile Kenya itakavyo jinyoosha..., keep watching...,Hivi ninyi ni watu wa aina gani?, Msituambukize upumbavu wenu, nchi zote zimetulia zinajenga uchumi wao, ninyi ni fujo Kila siku.
Hapana mkuu., baba ako deluded, even though I voted for him he is not honest.., the current situation is beyond Kenya, ni global recession, triggered by ukraine war and other factors, dollar has strengthned against all major currencies, which is normal kwa any crisis as it is considered a safe haven currency, yaani the wealthy and many corporations buy dollars to hedge their wealth against recession, so dollar na gold zinapungua (dhamani yao inapanda)kwa vile demand iko high, na hiyo ina affect prices ya goods kwa vile bei ya mafuta inapanda as it is quoted in dollars. Raila angekua mkweli angeambia wafuasi wake kuna global recession ukiongezea prolonged drought kisha aulize serikali iko na mikakati ipi kupambana na hali ilivyo duniani, akiona hajaridhika atoe opinion yake wakikataa awasukume.., sio kusema eti Ruto ameshindwa na kudanganya wafuasi wake eti seikali ya Ruto ndio sababu ya masaibu yao he is obviously taking advantage of the situation to gain political milaege., I am an independent thinker.., I voted for his manifesto sio vioja vyake..., apumzike na yeye.., we lost fair and square, nimefanya uchunguzi wa results from many sources...,as team Azimio we lost it.Kesho utatokea kwenye maandamano ya "baba"?😂
Tafuta elimu kaka.., mko hovyo sana , ona sasa😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆Nimemsikia SSH akisema kuna jirani anaomba kuwekewa Bond na Tanzania kununua mafuta huko nje akawatolea nje bila shaka ni kundustan 😆😆wazee wa GDP
Ila mnakufa kwa njaa mkiwa na GDP yenu matakoni, nchi haina pesa pamoja na GDP yenu kwapani, mnatuomba pesa za kigeni Ili muagize mafuta to nje, hahahahaDGP is just gross domestic product. Ki ufupi ni kwamba uzalishaji wetu ipo juu kuwazidi. Inauma ila mtazoea tu
Mjinga anaendelea kuwa mjinga!Hapana mkuu., baba ako deluded, even though I voted for him he is not honest.., the current situation is beyond Kenya, ni global recession, triggered by ukraine war and other factors, dollar has strengthned against all major currencies, which is normal kwa any crisis as it is considered a safe haven currency, yaani the wealthy and many corporations buy dollars to hedge their wealth against recession, so dollar na gold zinapungua (dhamani yao inapanda)kwa vile demand iko high, na hiyo ina affect prices ya goods kwa vile bei ya mafuta inapanda as it is quoted in dollars. Raila angekua mkweli angeambia wafuasi wake kuna global recession ukiongezea prolonged drought kisha aulize serikali iko na mikakati ipi kupambana na hali ilivyo duniani, akiona hajaridhika atoe opinion yake wakikataa awasukume.., sio kusema eti Ruto ameshindwa na kudanganya wafuasi wake eti seikali ya Ruto ndio sababu ya masaibu yao he is obviously taking advantage of the situation to gain political milaege., I am an independent thinker.., I voted for his manifesto sio vioja vyake..., apumzike na yeye.., we lost fair and square, nimefanya uchunguzi wa results from many sources...,as team Azimio we lost it.
Kwahiyo wewe Egypt ikipata shida kwasababu ni nchi tajiri kuwazidi, ninyi hamuwezi kujisimamia?, Sasa pamoja na matatizo ya Egypt mbona hawaombi fedha za kigeni toka nchi jirani na Wala wananchi wao hawana tatizo la njaa?Nilikuambia tafuta elimu ya uchumi kisha uje., uko na uelewa finyu mno.., sasa nyie mko juu ya Egypt kwa vile hii recession imewakamua zaidi kifedha? hadi makampuni yao kadhaa wameuzia nchi zingine za kiarabu kama Qatar na UAE kupata dollar, wewe ni boya mzee..., tafuta uelewa..,
Porojo.., nusu ya nchi wapi?.., mbona unasukumwa na wivu na chuki?., Mambo ya Matiang'i wewe yanakuuma kwa nini? wacha apambane na hali yake.., Raila ako na uhuru wa kufikiria anavyotaka, wacha mzee ajiliwaze anavyojua yeye., wewe pambana na ufukara wenu ulio wazi, licha ya amani bandia kisa ushamba na kutoelewa na uoga uoga..,
Nchi gani hizo zinajenga uchumi haswa Tanzania? miradi zinajikokota haziishi, wananchi wamezubaa mpo mpo tu, hamuulizi maswali kazi nikubweka kwa JF.., idiots.., sasa nyie ndio wapuzi, kaa mtazame vile Kenya itakavyo jinyoosha..., keep watching...,
Kama ikitokea utapata concrete jungle zaidi ya kariakoo east and central africa nitag mm nifunge acc budaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huo uchafu ndio hauna nje ya cbd yenu. Ungekuwa nayo ungetuonesha
Unalala na maumivu 🤣🤣🤣🤣🤣Goodnight...,
Sikuwa kujua kuna slum inaitwa motherland slum eastleigh kaaah nimewanyooshea mkono bro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌Yaani siku hizi umeishiwa hoja kabisaaa, tweets za 2019 na 2021 ilhali tuko 2023!!, umechoka sana kama jiji la mwanza lilivyo pole sana, pumzika upate nafuu urudi ukiwa fresh na nguvu mpya😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 ..,
🤣🤣🤣 We jamaa so bure huenda ni tahira wewe .. au ni wivu unakusumbua .. kando ya DAR CBD kuna Kariakoo (EA's concrete jungle), Upanga, Ilala .. huku ndio kuna namba kubwa ya gorofa mzeeWanajitoa ufahamu hawa vilaza, kila kitu iko open..., dunia ya leo porojo na uongo hazisimami..., wakipata anything nje ya CBD yao kama Eastleigh waambie wanitag..., Dar yoote tumeichambua, ni uswazi 80%..,
Sina hasira ila napenda kuwakumbusha kua zama za kudanganya kwa sifa za uongo zishapitwa na wakat dunia hii ya leo kila mtu mjuaji sijui watamdanganya nani 🤣🤣🤣🤣