Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unawazimu wa kichwa wewe aliekudanganya kariakoo ni sehem ya CBD ni nani ????

CBD hii hapa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Down town yenyewe ni part ya CBD kama umabisha sema nikuletee ushahidi
View attachment 2542316
Ata uchore map.., aerial views iko clear..., wewe endelea kubweka hadi basi haubadilishi lolote mzee.., Dar CBD ni moja tu, alafu sasa hiyo soko ya Kariokoo,πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Ata uchore map.., aerial views iko clear..., wewe endelea kubweka hadi basi haubadilishi lolote mzee.., Dar CBD ni mija tu, alafu sasa hiyo soko ya Kariokoo,πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Sio mm ni google earch 🀣🀣🀣 sasa kwann unapanic
 
nchi yenye chama moja hamtawai jua vile mnatafunwa kamwe., angalau mama aliumbua porojo za muendazake za kutokukopa.., vumilia na hilo taifa lenu hovyo, wachana na ya Kenya, huku hamfiki karne hii.., bado mko kwenye giza, ndio maana hamsongi na hamjui ni nini tatizo..,
Mtu wetu syndrome

Dunia ya Leo mnaendekeza ukabila, ninyi ni primitive society kabisa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
 
Hakuna kuumbua chochote alietoka ni CCM aliengia ni CCM kilichobakia ni siasa tu kama kiini macho lakini lao ni moja bro

Bora ya sisi hatuna matabaka na makabila nyinyi ni kalenjin na kikuyu kwisha ndio maana munaoasuana kila kukicha
Kila mtu na kwao huko Kunyaland, hiyo sio nchi ni mkusanyiko wa makabila 3 makubwa kuyanyasa makabila yalitobaki


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Leo ndio nimejua kuna slum inaitwa motherland slum eastleigh kaah πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ
Kakosa jibu anajichekesha chekesha kichizi.., pia mimi nimeona kweli ni slum khaa, mji wa kiislamu Nairobi, hadi rahaπŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
1668492311015-2-png.2542238

1668492266446-2-png.2542237
 
Kakosa jibu anajichekesha chekesha kichizi.., pia mimi nimeona kweli ni slum khaa, mji wa kiislamu Nairobi, hadi rahaπŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
1668492311015-2-png.2542238

1668492266446-2-png.2542237
Kakosa jibu anajichekesha chekesha kichizi.., pia mimi nimeona kweli ni slum khaa, mji wa kiislamu Nairobi, hadi rahaπŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
1668492311015-2-png.2542238

1668492266446-2-png.2542237
Ukipata concrete jungle ya kutia pua kariakoo unitag nifunge acc leo leo 🀣🀣🀣
 
Down town ni sehemu ya CBD nairobi ila kariakoo sio sehem ya CBD dar sasa unataka kulazmisha sukari kua chumvi 🀣🀣
Mbona liko wazi sana, usilie, inabakia pale pale, pengine uichukue uipeleke kwingine, sio hapo kando ya CBD.., ukirusha jiwe kutoka CBD linaanguka katikati ya Kariokoo, pole sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mmezubaa mpo mpo tu.., clueless, Mama kaumbua mwendazake, sasa hana lingine, bora siku zisonge.., Tanzania sioni ukombozi wenu hivi karibuni..., wacha sisi tusumbuane hadi kieleweke..., nyie endeleeni kuzubaa vijiweni eti nchi yenye amani na utulivu kumbe ni ujinga wa kutokujua na kuelewa siasa
Sasa watu Kila siku mnatukanana na polisi kupiga watu wanaojaribu kueleza shida za wananchi Kama anavyofanyiwa Eric Omondi, nchi haina utulivu ni fujo Kila siku.

Huko wafugaji wanapigana risasi na watu kuuliwa, huko kwengine no njaa watu wanakufa, huko Nairobi ni mapambano na polisi. Huko Ikulu wanatumia pesa hovyo for "Entertainment" hadi serikali inafilisika mnaomba Tanzania tuwasaidie pesa za kuagizia mafuta. Hivi ninyi mko na nchi au ujinga mtupu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sina muda mchafu bro eastleigh hakuna mtu hajui ni sehemu chafu kuliko sehemu yoyote ukiweka kando slums 🀣🀣🀣 na sometime naskia wakiita slum

Sehemu ambayo magorofa yamatope yametapakaa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†



View attachment 2542304

Yaani siku hizi umeishiwa hoja kabisaaa, tweets za 2019 na 2021 ilhali tuko 2023!!, umechoka sana kama jiji la mwanza lilivyo pole sana, pumzika upate nafuu urudi ukiwa fresh na nguvu mpyaπŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† ..,
 
SPACE CADET na wewe toka kwa hii thread nenda kwenye habari na hoja mchanganyiko ukazubae kule na wenzako, yani una dislike kila kitu, kutoka pande zote..., jipe shughli.., 😑😑😑 nyambaff, ama haujui maana ya emojis unazotumia🀣🀣🀣🀣
 
Sasa watu Kila siku mnatukanana na polisi kupiga watu wanaojaribu kuwekeza shida za wananchi Kama anavyofanyiwa Eric Omondi, nchi haina utulivu ni fujo Kila siku.

Huko wafugaji wanapigana risasi na watu kuuliwa, huko kwengine no njaa watu wanakufa, huko Nairobi ni mapambano na polisi. Huko Ikulu wanatumia pesa hovyo for "Entertainment" hadi serikali inafilisika mnaomba Tanzania tuwasaidie pesa za kuagizia mafuta. Hivi ninyi mko na nchi au ujinga mtupu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umejikaza kujieleza ndivyo unavyofikiria Kenya ilivyo., pole sana.., isolated cases sio picha ya taifa kama unavyotamani ikue wewe, alafu sijaona sehemu mtu amekufa kwa njaa.., ama wewe umeona unijuze na evidence in 2023?.., wachana na siasa zetu zitambe, tunajijua wenyewe, na tutaelewana, nyie endeleeni kuzubaa na hamna lolote la maana..., hauwelewi uchumi ata kidogo..., unakurupuka tu kimandazi, tafuta elimu kwanza kisha uje...,
 
Viongozi wa serikal ya sasa na iliyopita wanarushiana mpira upotezi wa Bil 16 za kenya, sijui hazijulikan zilipo..
Bila shaka ' black mamillionaires/rich politicians' wa kikunya wamekwapua huu mpunga

Hapo sawa, vitu vinaanikwa wazi wazi..., am having a field day, we will iron out all creases in Kenya.., nyoka lazima akue exposed ndio auwawe, kama amejificha nivugumu kumuua.., Kenya iko sawa, ila Tanzania bado sana, your disease is still hidden or covered...,
 
Hapo sawa, vitu vinaanikwa wazi wazi..., am having a field day, we will iron out all creases in Kenya.., nyoka lazima akue exposes ndio auwawe, kama amejificha nivugumu kumuua.., Kenya iko sawa, ila Tanzania bado sana, your disease is still hidden or covered...,
Wenzenu wanaiba hela, nyie mnashangilia kuwa na millionaires wengi, wezi wa fedha za umma
 
Back
Top Bottom