Baada ya kugundua kwamba huko mnapoteza "battle" ndio mnaomba Suluhu sio?. Ninyi ndio mara zote mnaanzisha "battle" na nchi mbalimbali sio Tanzania pekee, kwasababu Tanzania tumefanikiwa kuwakaba Koo, mnaanza kuomba poo.
Sasa sikilizeni, ujinga wenu wa kupenda kujisifia, kujikweza na kujiona Bora kuzidi nchi zingine, fanyieni nchi zingine sio Tanzania, mkijaribu kutukwaza na kutugusa "Negatively in any way" tutajibu mapigo kwa nguvu zote.
Ulishasikia watanzania wakijibizana mitandaoni na nchi yoyote Ile zaidi ya Kenya?, Ila ninyi wakenya mnajibishana na Nigeria, South Africa, Uganda, Ghana na Tanzania.
Jaribuni kujenga mahusiano mazuri na nchi zingine, punguzeni ujuaji mwingi, "otherwise" tutaendelea kupambana na ninyi mwanzo mwisho, kamwe hatutowaachia nafasi ya kuendeleza tabia zenu za hovyo.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app