Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only 5 million Kenyans are facing starvation. Does that compare with 28 million people in Tanzania who live in extreme poverty?
Sio mm ni world bank 🤣🤣🤣🤣


Screenshots_2023-03-07-14-24-39.png
 
There is a significant improvement in primary health care delivery In rural areas in Tz..
Wazee wenye Hypertension, Diabete mellitus and other non communicable diseases wanapata huduma vizuri wengi wao walikua wanakufa na complications zake kwa kukosa proper management. View attachment 2540553

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ingekuwa eti Kenya ndio imewekwa mbele kwenye hiyo taarifa, ungesikia vile watanzania wangevamia hiyo post na kauli za "data za kupikwa"

Watanzania ni watu wa ajabu sana. Yani kwao data/taarifa ni ya kweli tu pale Tanzania inapotajwa mbele ya Kenya. Ikitokea vice-versa, eti data sasa imepikwa 😃😃
 
Ingekuwa eti Kenya ndio imewekwa mbele kwenye hiyo taarifa, ungesikia vile watanzania wangevamia hiyo post na kauli za "data za kupikwa"

Watanzania ni watu wa ajabu sana. Yani kwao data/taarifa ni ya kweli tu pale Tanzania inapotajwa mbele ya Kenya. Ikitokea vice-versa, eti data sasa imepikwa 😃😃
Na ni kweli tanzania iko mbele kwa kila kitu au ni uongo ikiwa watu wanakufa na njaa hapo kuna nn munaeza shindana ?? Nchi haina ajira na inaongoza africa kua unemplyment rate kuna nn munaeza shindana?? Nchi inaongoza kwa corruption duniani kuna nn munaeza ongoza?? Nchi ina worse slums in the world kuna nn munaeza ongoza ?? Labda muongoze zombies 🤣🤣🤣🤣
 
Only 5 million Kenyans are facing starvation. Does that compare with 28 million people in Tanzania who live in extreme poverty?
5 Millions starving, they are most likely are going to die soon. Sikiliza kwa making, hakuna kitu chenye kudhalilisha utu wa binadamu Kama njaa.

Ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado Kuna nchi ambayo haina civil war lakini watu wake wanakufa kwa njaa.

Afrika tunapambana na umasikini, yaani kuongeza kipato Cha fedha, enzi za kutafuta chakula zilishapita muda mrefu Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
5 Millions starving, they are most likely are going to die soon. Sikiliza kwa making, hakuna kitu chenye kudhalilisha utu wa binadamu Kama njaa.

Ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado Kuna nchi ambayo haina civil war lakini watu wake wanakufa kwa njaa.

Afrika tunapambana na umasikini, yaani kuongeza kipato Cha fedha, enzi za kutafuta chakula zilishapita muda mrefu Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Dunia inakwenda mbele wao wanarudi nyuma miaka 50 🤣🤣🤣🤣 nchi zenye jangwa tena zina vita juu lakini huskii wanakufa na njaa never
 
Sio mm ni world bank 🤣🤣🤣🤣


View attachment 2540587

Nataka ninikuu hiyo taarifa yako kisha nikutoe makamasi ubongoni.

"The report revealed that over 40% of Kenyans live in extreme poverty... "

Sasa tuingie kwenye hesabu.
40% ya wakenya ni watu ngapi?

40%*50 million people =20 million people

Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Bongolala, stop sharing information that you cannot substantiate. You'll only look stupid!

Secondly, that report was comparing lower middle-income countries. At that time, Tanzania was still an LDC country na ndio maana haikutajwa licha ya kuongoza kwa umasikini ukanda huu. Ask yourself what the numbers could have been if Tanzania was included in that report!
 
Ni watz wachache ambao wako busy kupost maendeleo ya nchi yetu,wengi wako busy kutafuta madhaifu ya wengine...
Turudi kwenye mstari uzi ushapoteza dira.

Hayo na maoni yangu tu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mtu unadanganya ofisin (mtandaon) kuwa una maisha mazur, unakula kuku kila siku home kwako..una nyumba kali..unaishi maisha mazur.. ila majiran (media) wanafotoa photo kila siku kuwa mda mwingine unashinda njaa.. unakula ugal na chumvi.. wanaonyesha nyumba yako haina hata madirisha (haijaisha)... kwann tusikuzodoe uache kudanganya? Kwann tusikuzodoe ukubali kuishi maisha yako?
 
Nataka ninikuu hiyo taarifa yako kisha nikutoe makamasi ubongoni.

"The report revealed that over 40% of Kenyans live in extreme poverty... "

Sasa tuingie kwenye hesabu.
40% ya wakenya ni watu ngapi?

40%*50 million people =20 million people

Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Bongolala, stop sharing information that you cannot substantiate. You'll only look stupid!

Secondly, that report was comparing lower middle-income countries. At that time, Tanzania was still an LDC country na ndio maana haikutajwa licha ya kuongoza kwa umasikini ukanda huu. Ask yourself what the numbers could have been if Tanzania was included in that report!
Ikiwa world bank wanasema zimbabwe ndio ilikua nchi maskini duniani sasa hvi nyinyi mumewashinda zimbabwe kwa umaskini kwa 17% hii unaichukuliaje 🤣🤣🤣🤣 yani hata huitaji ramli kujua muko kwenye hali gani
Screenshots_2023-03-07-14-24-39.png
 
Nataka ninikuu hiyo taarifa yako kisha nikutoe makamasi ubongoni.

"The report revealed that over 40% of Kenyans live in extreme poverty... "

Sasa tuingie kwenye hesabu.
40% ya wakenya ni watu ngapi?

40%*50 million people =20 million people

Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Bongolala, stop sharing information that you cannot substantiate. You'll only look stupid!

Secondly, that report was comparing lower middle-income countries. At that time, Tanzania was still an LDC country na ndio maana haikutajwa licha ya kuongoza kwa umasikini ukanda huu. Ask yourself what the numbers could have been if Tanzania was included in that report!
🤣🤣🤣🤣🤣 mm napenda sana kukupa ukweli ili uelewe nn namaanisha
 
Stop hiding behind njaa and look at the bigger picture. They say figures don't lie. There's no way you can convince anyone that 5 million is bigger than 28 million
8% extreme poverty 2019 what about 2023 itakua ngap 5% au?? 🤣🤣🤣
 
Ikiwa world bank wanasema zimbabwe ndio ilikua nchi maskini duniani sasa hvi nyinyi mumewashinda zimbabwe kwa umaskini kwa 17% hii unaichukuliaje 🤣🤣🤣🤣 yani hata huitaji ramli kujua muko kwenye hali gani
View attachment 2540596
Bongolala, that report was comparing lower-middle-income countries. Kwa wakati huo, bado mlikuwa mmekwama kwenye lile tope la LDC.

Secondly, 40% of Kenyans is 20 million. Nyinyi the same World Bank wanasema idadi ya watu wanaoishi in extreme poverty ni 28 million. Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Kumuelimisha mtanganyika ni kazi kweli tena yahitaji mshahara nono
 
Bongolala, that report was comparing lower-middle-income countries. Kwa wakati huo, bado mlikuwa mmekwama kwenye lile tope la LDC.

Secondly, 40% of Kenyans is 20 million. Nyinyi the same World Bank wanasema idadi ya watu wanaoishi in extreme poverty ni 28 million. Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Kumuelimisha mtanganyika ni kazi kweli tena yahitaji mshahara nono
Na labda nikukumbushe tanzania ndio nchi iliongoza kwa poverty reduction in africa 🤣🤣🤣
So take 2019 tanzania ilikua na 8% of its population in extreme poverty wakat kenya 2021 iko over 40%

20230307_145004.jpg
 
Bongolala, that report was comparing lower-middle-income countries. Kwa wakati huo, bado mlikuwa mmekwama kwenye lile tope la LDC.

Secondly, 40% of Kenyans is 20 million. Nyinyi the same World Bank wanasema idadi ya watu wanaoishi in extreme poverty ni 28 million. Sasa kati ya 20 million na 28 million ni gani nyingi?

Kumuelimisha mtanganyika ni kazi kweli tena yahitaji mshahara nono
We just shut up! Unafikiri Kwa nini wenzio wamekimbia battle!?

Kenya ni masikini kuliko.....hali zenu ni mbaya! Ila najua huna bundle. Huwezi soma hizo post za nyuma!
 
We just shut up! Unafikiri Kwa nini wenzio wamekimbia battle!?

Kenya ni masikini kuliko.....hali zenu ni mbaya! Ila najua huna bundle. Huwezi soma hizo post za nyuma!
2021 zimbabwe ilikua na nafuu 17% in extreme poverty dhidi ya kenya na hapo hapo zimbabwe ndio ilikua nchi maskini duniani bado hajifkiriii tu kua wanaelekea jahannam 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom