Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utakufa na wivu wewe mwarabu bandia.


Screenshot_20230302-163103.png
 
Hakuna ushahidi wowote Kama hiyo gari ni ya mkenya, hayo maandishi uliyoambatanisha hapo tumezoea kawaida ya wakenya kupenda kuonyesha Kila kitu kizuri ni chakwenu.

Mlishawahi kusema "buses" za BRT Tanzania zimetengenezwa Kenya, Magufuli aliletwa Kenya, Meli kubwa tunayounda Kule ziwa Victoria imejengwa na wakenya, yaani ninyi mpo na matatizo makubwa Sana ya kupenda kujisifu na ni watu waongo Sana.

Hata hii picha hapa mlishaiweka na mkasema hapa ni Nairobi
Kenya hampo sawa "mentally", mko na shida kubwa sana ya kudanganya na kupenda kujikweza Sana.
Haya basi gari ni ya mtanzania umefurahi[emoji1787]
 
Tunawaimbianga hio stori hawaskii[emoji23] many people do that..my cousin has vehicles with Tanzanían registration plates[emoji23]
So do these bus companies kina Tahmeed, Modern Coast etc
Ata mimi i have a car i bought in tz,coz of their cops they never want to see kenyan plates[emoji1787]
 
Gari iko registered uganda unalazmisha iwe gari ya kenya hvi nyinyi akili zenu hua ziko sawa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu tu ndio umejaza , unachukia kuona wakenya wakiendelea juu unajua ni tishio pole sana ichogal, we will keep moving ahead na chuki zako
 
Tunawaimbianga hio stori hawaskii😂 many people do that..my cousin has vehicles with Tanzanían registration plates😂
So do these bus companies kina Tahmeed, Modern Coast etc
Hvi ww unajua tahmeed ni mtanzania kiasili na je unajua mama yake mzazi anaishi tanga na kajengewa na tahmeed nyumba kubwa ya kifakhari sana pale tanga au huna taarifa hio 🤣🤣🤣🤣 ataachaje kuja kuekeza tanzania ikiwa ni kwao kiasili na sio bus huku ana mpaka truck logistic company inaitwa tahmeed

Kazi yenu nyinyi ni kujisifia kwa vitu si vyenu hii tabia acheni na mubadilike kwani dunia ishabadilika zaman na mutambue dunia hii hata mtoto wa mwaka mmoja hamuwez kumdanganya 😛😛😛
 
Wivu tu ndio umejaza , unachukia kuona wakenya wakiendelea juu unajua ni tishio pole sana ichogal, we will keep moving ahead na chuki zako
Wivu wa nn wakat gari ina plate number ya uganda so wivu unahusika vipi hapo??🤣🤣

Nyinyi ndio munachukia kuona tanzania imeinuka kwa speed ya ajabu within 10 yrs ndio maana hamulali sasa hvi munakesha na tanzania midomoni mwenu 😛😛😛😛

Atleast ningekua siijui kenya kweli ungenidanganya lakini najua mpaka rangi za chupi zenu just imagine 🤣🤣
 
Back
Top Bottom