Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm mtu akinitajia Kenya huwa akili yangu inatafsiri Afghanistan yn naogopa sana kwenda Kenya naiona ni nchi hatari sana kuishi.
Yaani wewe na Mimi hatupishani kitu hata kimoja, inawezekana baba yetu ni mmoja, huwezi jua kwasababu dunia ni duara, wanaume huzunguka Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
FB_IMG_16777416776698768.jpg
FB_IMG_16777416823936168.jpg
 
Yaani wewe na Mimi hatupishani kitu hata kimoja, inawezekana baba yetu ni mmoja, huwezi jua kwasababu dunia ni duara, wanaume huzunguka Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi huwa siendi huko unless ni lazima na sina ujanja kukwepa hiyo safari. Mara ya kwanza natua JKIA immigration officer baada ya ku scan passport yangu akaniuliza hivi wewe mbona hupendi kutembelea huku mara kwa mara nikamwambia ndio nimekuja ila kiukweli nahofia safety yangu hapo Naipori.

Kuna katibu mkuu mmoja wa wizara Zanzibar mtu mzima sana kama 60 years hivi alikuwa atacked in nairobi kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kuishia kwenye coma.

Huu mji wao chokoraa kila kona sio safe kabisa.
 
Yaani wewe na Mimi hatupishani kitu hata kimoja, inawezekana baba yetu ni mmoja, huwezi jua kwasababu dunia ni duara, wanaume huzunguka Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata mimi huwa siendi huko unless ni lazima na sina ujanja kukwepa hiyo safari. Mara ya kwanza natua JKIA immigration officer baada ya ku scan passport yangu akaniuliza hivi wewe mbona hupendi kutembelea huku mara kwa mara nikamwambia ndio nimekuja ila kiukweli nahofia safety yangu hapo Naipori.

Kuna katibu mkuu mmoja wa wizara Zanzibar mtu mzima sana kama 60 years hivi alikuwa atacked in nairobi kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kuishia kwenye coma.

Huu mji wao chokoraa kila kona sio safe kabisa.
Ni nchi ya hovyo sn, kila mtu mwizi, kila mtu mlevi, kila mtu chokoraa. Unaweza usife kwa kupigwa na wakora lkn ukaangukiwa na jengo au daraja limekatika gari yenu ikatumbukia mtoni au mlevi kakugonga na boda boda au ukapata kipindupindu au ukala chakula chenye sumu mana mpk karanga wanapika kwa kutumia acid.

Hovyo sn hii nchi sio ya kwenda hovyo hovyo unaweza ukafupisha uhai wako, no wonder Wakenya wengi wanatamani kuikimbia nchi yao.
 
Hata mimi huwa siendi huko unless ni lazima na sina ujanja kukwepa hiyo safari. Mara ya kwanza natua JKIA immigration officer baada ya ku scan passport yangu akaniuliza hivi wewe mbona hupendi kutembelea huku mara kwa mara nikamwambia ndio nimekuja ila kiukweli nahofia safety yangu hapo Naipori.

Kuna katibu mkuu mmoja wa wizara Zanzibar mtu mzima sana kama 60 years hivi alikuwa atacked in nairobi kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kuishia kwenye coma.

Huu mji wao chokoraa kila kona sio safe kabisa.
Mkuu, nikishavuka mpaka na kuingia Kenya, mapigo ya moyo yanaanza kuongezeka, yaani sina amani kabisa, simuamini mtu yeyote hata wale wahudumu wa Hotel ninayoishi ninawaogopa, wakati wowote wanaweza kukulengesha kwa majambazi.
 
Ni nchi ya hovyo sn, kila mtu mwizi, kila mtu mlevi, kila mtu chokoraa. Unaweza usife kwa kupigwa na wakora lkn ukaangukiwa na jengo au daraja limekatika gari yenu ikatumbukia mtoni au mlevi kakugonga na boda boda au ukapata kipindupindu au ukala chakula chenye sumu mana mpk karanga wanapika kwa kutumia acid.

Hovyo sn hii nchi sio ya kwenda hovyo hovyo unaweza ukafupisha uhai wako, no wonder Wakenya wengi wanatamani kuikimbia nchi yao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nchi inayosambaratishwa na mabomu ya Urusi bado wanazalisha chakula, ninyi mnaosema nchi yenu Ina uchumi mkubwa, Kila siku mnasubiri misaada ya wazungu ya chakula



when its a natural disaster kupewa msaada ni kawaida.... hata turkey ilio patwa na natural disaster ilipewa misaanda from diffrent countries.
 
Back
Top Bottom