Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Toa kongole Kwa mh.Rais Kwa kumwaga mapesa kama yote , lakini pia Nampa big up Meneja Kwa kusimamia usanifu wa Kisasa wa Barabara..

Kigoma Sasa itafunguka kweli kweli.

Mwisho sijasikia Barabara Moja muhimu sana ya Kutoka Kigoma(Uvinza) kuja Katavi(Mpanda),please wajenge hii Barabara Ili ukitoka Tunduma ufike Mtukula Ukiwa kwenye lami.
 
Jamaa yako huyu hapa, kutua tu ameshaanza kukwaruzana na watu,

Hovyo sana huyu jamaa
ChoiceVariable

Nani kasema ni Jamaa yangu?
 
Nani kasema ni Jamaa yangu?
Mkuu, hiyo ni lugha tu ya kujadiliana, sina maana kwamba ni jamaa yako kwelikweli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata siwezi shangaa pia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siku utapata ina plate number ya kenya unitag nikurahishishie kazi plz
View attachment 2535344
Punguza wivu ichogal gari ni ya mkenya

Screenshot_20230303-003134_Instagram.jpg
 
Si unaona hata Mimi alinikwaza Hadi nimemfungulia Uzi huko jukwaa la siasa.
Mkuu, tunatatizo kubwa Sana la upinzani hapa Afrika, kidogo mtu ambaye ninamuelewa hapa Afrika ni Julius Malema, hawa wengine hata siwaelewi kabisa, hawana muelekeo wao wa kutaka kuongoza nchi, wao huenda na matukio ya wakati huo.

Mfano mzuri hapa kwetu, wote wanazungumzia katiba, ukiwauliza baada ya hiyo katiba kupatikana nini wanataka kuwafanyia wananchi "physically on the ground", hawajui na kamwe hawafikirii Hilo.

Huko Kenya, walililia katiba Sana, baada ya kuipata hawajulikani nini wamewafanyia wakenya, Kila siku wanakuja na mambo mapya, mara BBI, mara Punda amechoka kubeba mzigo, Sasa hivi wameshikilia bei ya unga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mpuuzi mmoja wa kikenya alidai eti hii picha ya kwanza ni NAIROBI akatamba sana .. kumbe ni duniani uko, eeh jamaa wataacha lini na sifa kama Dully minus money 🤣🤣 👇.
 
Punguza wivu ichogal gari ni ya mkenya

View attachment 2535416
Hakuna ushahidi wowote Kama hiyo gari ni ya mkenya, hayo maandishi uliyoambatanisha hapo tumezoea kawaida ya wakenya kupenda kuonyesha Kila kitu kizuri ni chakwenu.

Mlishawahi kusema "buses" za BRT Tanzania zimetengenezwa Kenya, Magufuli aliletwa Kenya, Meli kubwa tunayounda Kule ziwa Victoria imejengwa na wakenya, yaani ninyi mpo na matatizo makubwa Sana ya kupenda kujisifu na ni watu waongo Sana.

Hata hii picha hapa mlishaiweka na mkasema hapa ni Nairobi
Kenya hampo sawa "mentally", mko na shida kubwa sana ya kudanganya na kupenda kujikweza Sana.
 
Hujawazoea tu hawa kondoo?
Kila kitu kizuri ni chao!
Hawana ila watajitutumua waonekane wanayo.
Hii pia walisema ni yao. [emoji23][emoji23][emoji23]


Alaf ajabu hua wanajifurahisha na uongo kabisa bila hata aibu 🤣🤣🤣🤣 yani unajiuliza wanapata faida gani manake dunia ilipofika hii hata mtoto anaezaliwa leo huwez kumdanganya wao bado wako na mawazo ya 90s wakidhani watadanganya dunia
 
Mkuu, tunatatizo kubwa Sana la upinzani hapa Afrika, kidogo mtu ambaye ninamuelewa hapa Afrika ni Julius Malema, hawa wengine hata siwaelewi kabisa, hawana muelekeo wao wa kutaka kuongoza nchi, wao huenda na matukio ya wakati huo.

Mfano mzuri hapa kwetu, wote wanazungumzia katiba, ukiwauliza baada ya hiyo katiba kupatikana nini wanataka kuwafanyia wananchi "physically on the ground", hawajui na kamwe hawafikirii Hilo.

Huko Kenya, walililia katiba Sana, baada ya kuipata hawajulikani nini wamewafanyia wakenya, Kila siku wanakuja na mambo mapya, mara BBI, mara Punda amechoka kubeba mzigo, Sasa hivi wameshikilia bei ya unga[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa malema na mihemko yake huyo ndio simtaki kabisaa..

Mpinzani wangu alikuwa ni Morgan Tsvanherai walau na Tendai Biti kutoka Zim.
 
Back
Top Bottom