ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Alaf wanakwambia wanamagari mengi kuliko tanzania ππππ
Alaf wanakwambia wanamagari mengi kuliko tanzania ππππ
Why Kampala Uganda na siyo Dar-es-salaam Tanzania. Tumeitangaza nchi nyingine kimataifa.
Uzalendo humtia mtu upofu. Ni haki yako kuisifia nchi yako japo unajua fika kuwa mji gani uliokwisha pindua meza Nairobi.Kuna Nairobi halafu kuna other African cities
personally I love nairobi sky views
Mzungu ali design huo mji since day one
Kudos Kenyans kwa kuendeleza!!!
He knew diaspora wa Bongo kwa uzalendo wao watatumia, lakini anawapataje hawa wapenda sifa? Ngoja awapelekee kwao na lugha tamu wampe helaβ¦β¦na wameingia king wanajisifujinga sana hizi jamaa
![]()






Kuna mmoja humu anajiita mtanzania pia hii ni habari mbaya kwake, huwa anashadadia sana fake statistics kutoka kunyaland ππAlaf wanakwambia wanamagari mengi kuliko tanzania ππππ
Wewe kweli ni mlevi π€£π€£ we unauzungumzia Tz ya miaka gani.?.. juzi kati tu Mwanangu alisimamia kazi ya sales ya hii taifa Gas ambapo mtungi mdogo uliokwisha jazwa uliuzwa 33000 .. mpaka mamikoa ya simiyu uko na walifanya vizuri .Na ndicho Fostam kafuata huko Kenya maana ukweli ni kwamba middle class Kenya ni kubwa kuliko Tanzania..
Watzn wengi ni maskini huu ni ukweli mchungu just imagine kujaza mtungi mdogo wa 18,000-23,000 ni tatizo na Bado tunatumia 90% mkaa ,gas na umeme Huwa ni Kwa dharula tuu.
Huyo ni dalali wa mabati atajulia wapi mambo ya cooking gasπWewe kweli ni mlevi π€£π€£ we unauzungumzia Tz ya miaka gani.?.. juzi kati tu Mwanangu alisimamia kazi ya sales ya hii taifa Gas ambapo mtungi mdogo uliokwisha jazwa uliuzwa 33000 .. mpaka mamikoa ya simiyu uko na walifanya vizuri .
Just to let you know Gesi inatumika karibu kila nyumba kwasasa .. unless wewe unaeishi interior uko porini
Hizo takwimu hapo sio zangu ni za Wizara ya afya na nishati.Wewe kweli ni mlevi π€£π€£ we unauzungumzia Tz ya miaka gani.?.. juzi kati tu Mwanangu alisimamia kazi ya sales ya hii taifa Gas ambapo mtungi mdogo uliokwisha jazwa uliuzwa 33000 .. mpaka mamikoa ya simiyu uko na walifanya vizuri .
Just to let you know Gesi inatumika karibu kila nyumba kwasasa .. unless wewe unaeishi interior uko porini
Wewe kweli ni mlevi π€£π€£ we unauzungumzia Tz ya miaka gani.?.. juzi kati tu Mwanangu alisimamia kazi ya sales ya hii taifa Gas ambapo mtungi mdogo uliokwisha jazwa uliuzwa 33000 .. mpaka mamikoa ya simiyu uko na walifanya vizuri .
Just to let you know Gesi inatumika karibu kila nyumba kwasasa .. unless wewe unaeishi interior uko porini
Huyo anaeshabikia hua anashadadia tu mzee wa technology ππππKuna mmoja humu anajiita mtanzania pia hii ni habari mbaya kwake, huwa anashadadia sana fake statistics kutoka kunyaland ππ
View attachment 2531418
Watakwambia wao wanatumia european cars as if probox zinatoka germany πππKuna mmoja humu anajiita mtanzania pia hii ni habari mbaya kwake, huwa anashadadia sana fake statistics kutoka kunyaland ππ
View attachment 2531418
Kwahyo unafanya guess work.? π€£Hizo takwimu hapo sio zangu ni za Wizara ya afya na nishati.
Refer siku wanazindua Mpango wa Nishati safi ndipo waliotoa hizo takwimu..
Kama Nchi yenye watu mil.62 lakini wenye visimbuzi ni chini ya mil.5 hapo wewe unaonaje? Ndio wataweza mtungi wa gas?
Unga wa bakhresa uko London tangu siku nyingi tuu ilifika mahali Nigerians wakawa wanatumia packaging materials za azam wakawa wanaweka unga wao mbovu huko ili ununuliwe maana waafrica wengi huko wanapenda unga wa azam.