Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunakuja kivingine wakenya mtatuweza kweli?
IMG-20230226-WA0032.jpg
 
Hukatazwi kujibu, unapaswa utumie lugha ya staha, lete hoja ujibu hoja, Sasa ukianza kutumia maneno ya dharau, lazima yarudishwe kwa mama yako, Kama unadhani maneno uliyotumia ni mazuri, mbona yakirudishwa kwa kutumia anuani ya mama yako unakasirika?.

Kwa mfano nikisema mjinga ni mama yako hutokasirika?, kwamba aliyekosa adabu ni baba yako unajisikiaje?. Lini niliikuambia Mimi ni mzalendo, nani anayethibitisha uzalendo wa mtu?,.

Wewe Jenga hoja utajibiwa kwa hoja, ukileta maneno ya ajabu ajabu, tutayafunga katika vifurushi na kumtumia mama yako, utayakuta huko, sawasawa?
Mkuu basi.Imeandikwa, ikiwa nyinyi kwa nyinyi mnagombana basi mtamalizana.
 
Jamaa mjanja katumia lugha rahisi ili afanye biashara pasipo na usumbufu, ameipamba Kenya ili apate soko.
He knew diaspora wa Bongo kwa uzalendo wao watatumia, lakini anawapataje hawa wapenda sifa? Ngoja awapelekee kwao na lugha tamu wampe hela……na wameingia king wanajisifu😅😅 jinga sana hizi jamaa😂😂
 
Back
Top Bottom