The same Tanzania where only 7% use LPG for cooking compared to 24 % in Kenya? 😂😂😂😂😂Dony worry Tanzanians have come to the rescue.
Uoga gani bongolala? Huyo ni mwekezaji na anajua mahali pesa iko. Why would he waste his money in Tanzania where only 7% of all households use gas for cooking? Anajua Tanganyika hakuna soko kwa hivyo akaona afulize hadi Kenya ambapo asilimia kubwa ya wananchi wanatumia gesi kupikia ikilinganishwa na Tanzania. Ni akili mtu wanguWashaingiwa na uoga
![]()
Pay casuals weekly, Gachagua directs Tanzania gas firm
Taifa Gas Investment SEZ has commenced construction of LPG plant at Dongo Kundu.www.the-star.co.ke
That 'failed state' has more domestic gas users than your heaven on earth country where only 7% of households know what LPG is! You should even be ashamed that despite Tanzania having natural gas deposits, asilimia kubwa ya watanzania hawana matumaini ya kutumia gesi kupikia nyumbaniUkiwasikia humu unaweza dhani wanatokea yurop kumbe wanatokea failed state.
Hii hautaona wakiuliza ni ya mwaka gani. The pot calling the kettle black! 😂😂😂😂Lakini according to Ma-Rope pia sisi hatuko vizuri, actually sisi ni wa kwanza then wanafuata wao hivyo tusichekane sana
View attachment 2528738View attachment 2528739![]()
Dirty cooking 'kills at least 33,000 yearly'
Charcoal, firewood and crop residues may be cheaper cooking energy options, but they are directly responsible for at least 33,000 deaths in Tanzania annually, a Cabinet minister said yesterday.www.thecitizen.co.tz
Kusema wakenya wengi hutumia cooking gas kuliko watanzania ni majigambo? 😂😂😂😂Sisi wala hatujakataa, nakumbuka kauli ya waziri miezi michache iliyopita,
Shida ni wakunya kujigamba humu kumbe wapo ovyo.
Si unakumbuka pia walituambia humu kuwa huwa wananunua magari mapya mapya tu zero km!
This people are too slow and shallow to think of Kenyans being jealous of an investment. Kenyans don't look of nationality when doing business. Why would we feel bad knowing it's the biggest in Africa? Think of the number of direct and indirect Job creation. We need open minded guys like him to come and invest where there is money. Kama hyo ndo kusikia vibaya Pogezi kwenu👏👏Uoga gani bongolala? Huyo ni mwekezaji na anajua mahali pesa iko. Why would he waste his money in Tanzania where only 7% of all households use gas for cooking? Anajua Tanganyika hakuna soko kwa hivyo akaona afulize hadi Kenya ambapo asilimia kubwa ya wananchi wanatumia gesi kupikia ikilinganishwa na Tanzania. Ni akili mtu wangu
Wewe ni kichaa na ndiyo maana hujaweka evidence to support your rubbish, sisi ndiyo tumewaletea gesi huko kwenu kuanzia ya kupikia mpk ya viwandani tutawaletea na bado unaleta ki article cha kutunga ili ujifariji.The same Tanzania where only 7% use LPG for cooking compared to 24 % in Kenya?
Wewe ni kichaa si bure.
You need to rescue yourselves first before thinking of others
View attachment 2528990
Kila siku tunaambiwa hapa kwamba itawachukuwa miaka mingi sana mfike tulipo ila manaonanga ni madharau.
Kwenu ndio kwanza tumewaletea sasa hivi gesi, sisi huku kwetu zipo kampuni nyingi za gesi na zote zinauza na huko kwenu shit hole country.That 'failed state' has more domestic gas users than your heaven on earth country where only 7% of households know what LPG is! You should even be ashamed that despite Tanzania having natural gas deposits, asilimia kubwa ya watanzania hawana matumaini ya kutumia gesi kupikia nyumbani
99% ya Wakenya wanawaza Tz.Hapa mm bado sijaelewa wakurungwaView attachment 2529005
Tunajipongeza kwasababu now tumeshikilia uchumi wenu.This people are too slow and shallow to think of Kenyans being jealous of an investment. Kenyans don't look of nationality when doing business. Why would we feel bad knowing it's the biggest in Africa? Think of the number of direct and indirect Job creation. We need open minded guys like him to come and invest where there is money. Kama hyo ndo kusikia vibaya Pogezi kwenu![]()
Cha ajabu wakunya wa humu ndani nashangaa hawajisifu kwa huu mradi kama tulivyowazoea katika miradi mingine.Huyo ni mwekezaji kutoka Tanzania kaweka kiasi hicho cha mpunga halafu hawa kundustan wanasema wao wanahela




Acha ujinga wewe. Hata sisi tuna FDIs kubwa kuliko hizo nyingi tuu kila mwaka.Kwanza fayaa ujue foreign direct investment (FDI) ni nini ndio utoe povu
Kwendaaaa unaleta habari ya 7 years ago hapa? Very desperate.The same Tanzania where only 7% use LPG for cooking compared to 24 % in Kenya?
Wewe ni kichaa si bure.
You need to rescue yourselves first before thinking of others
View attachment 2528990
Kila siku tunaambiwa hapa kwamba itawachukuwa miaka mingi sana mfike tulipo ila manaonanga ni madharau.
Usijali sasa mtapata relief kwenye gas. Your own citizens, politicians na some unscrupulous government officials waliwashika pabaya sana kwa monopoly ya gas.Uoga gani bongolala? Huyo ni mwekezaji na anajua mahali pesa iko. Why would he waste his money in Tanzania where only 7% of all households use gas for cooking? Anajua Tanganyika hakuna soko kwa hivyo akaona afulize hadi Kenya ambapo asilimia kubwa ya wananchi wanatumia gesi kupikia ikilinganishwa na Tanzania. Ni akili mtu wangu