The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tunashukuru mmekubali Watz waje kuwekeza huko kwenu sasa namba mtaisoma, tunachukua pesa zenu tunarudisha nyumbani, kama wazungu wa kwenye chai wanavyowatafuna ndivyo na cc tutakavyofanya, asanteni sana KenyaRostam Aziz katuongezea number za FDI pale na Taifa gas. Kenya is truly the investment hub of East Africa









