Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rostam Aziz katuongezea number za FDI pale na Taifa gas. Kenya is truly the investment hub of East Africa
Tunashukuru mmekubali Watz waje kuwekeza huko kwenu sasa namba mtaisoma, tunachukua pesa zenu tunarudisha nyumbani, kama wazungu wa kwenye chai wanavyowatafuna ndivyo na cc tutakavyofanya, asanteni sana Kenya
 
70% of households rely on firewood
Waambie kabisa hizo ni takwimu kutoka serikalini kabisa.
Screenshot_20230224-180704.jpg
 
Back
Top Bottom