Yani apo tukipiga hesabu inakuwa hivi

Kampuni mbili za Tanzania zime invest kiasi cha dollar mil 205 huko Kenya. Taifa gas ($200mil ) and Nala ($5mil)
200+5 = 205
205/2 = $102mil
So, two Tanzanian coy zime invest wastani wa $102 mil kila moja.
Kampuni 534 za Kenya zime invest kiasi cha $1700mil huku Tz.
1700 ÷ 534 = 3.1
So, kwa wastani unapata kila kampuni ime invest kiasi cha $3.1mil.
Ama kwa hakika mnaona utofauti hapo kwamba Wakenya huku Tz wamekuja kucheza na sio ku invest, huwa najiuliza hizo kampuni zina deal na nn usijekuta nyingi ya hizo kampuni ni washona viatu








