ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mambo yamegeuka munaanza kumsingizia nyerere sasa 😆😆😆😆😆Hizi nyimbo tumezisikia tangu enzi za Nyerere
Mambo yamegeuka munaanza kumsingizia nyerere sasa 😆😆😆😆😆Hizi nyimbo tumezisikia tangu enzi za Nyerere



We unaamini hiyo figure kutoka kwa mwendawazimu kama gachagua?
Ni mtu wenu uyo ye kazitoa wapiWe unaamini hiyo figure kutoka kwa mwendawazimu kama gachagua?



Hapa ndio wanapita kimyakimya kama wangaRais anamuomba tajiri wa tanzania



Hapo nikiwa corner ya bwiru napiga maji na samaki ugali napata hewa nzuri toka kilimahewa.
Wew pekee ndo sio mwendawazimu. JichunguzeWe unaamini hiyo figure kutoka kwa mwendawazimu kama gachagua?
America wako level zao kijanaHata ukienda nchi Tajiri kama Marekani nyumba kama hii ni ya wachache. In fact 5% is quite in the higher side for any African country.
Nafahamu sana hapa hali ikoje...lakini mbaya zaidi ni kwamba hatupishani kwenye maeneo kama hayo...wanaoutumia gas kupikia ni kundi dogo tu mkaa ndio kwa sana ilo lipo waziHivi unadhani Tz kuna tofauti ama? Kila siku Mimi huwaambia humu, tofauti ya Kenya na Tz ninkuwa Kenya tunazo data za standards of living kibao na tunaziweka wazi. Hapo Bongo bado mko kwa ignorance in bliss.
Nyie Wakenya ni mafukara sn wallahi, hiyo nyumba huku uswahilini zipo kibao kumbe nyie kwenu wanamiliki only 5%Hata ukienda nchi Tajiri kama Marekani nyumba kama hii ni ya wachache. In fact 5% is quite in the higher side for any African country.





masterpiece! 😂😂KUNISTAN![]()