Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Personal Observation while walking today.

Magomeni becoming an important self sufficient area.

They have a new DMDP Park, Four BRT Bus stops servicing same area from each road( Kawawa x2 morogoro road x2) They have a new Market, A Big Church, Big Mosque , Hospital, New Administration Building , Banks, New Hotel.
Definitely decongesting the City, No one will go to Kariakoo or posta and leave everything available here .

View attachment 2521391
View attachment 2521392

Adminstration Building

View attachment 2521394
View attachment 2521395


Church and Mosque opposite


View attachment 2521396

The Market

View attachment 2521398
Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.
 
Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.
hili ndo tatizo la Watanzania ulalamishi kupita maelezo yaani kuna wakulungwa wanadai nauli ya tshs 30,000 SGR Dar Dodoma ni kubwa yet haohao wanakandia mabehewa! Sasa najiuliza mradi utajiendeshaje?
 
Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.
The price was above 70m ndio Rais akaingilia kati ikashushwa mpaka 48m. Sijasikia tena watu wakilalamia hiyo price ya 48m.
 
The price was above 70m ndio Rais akaingilia kati ikashushwa mpaka 48m. Sijasikia tena watu wakilalamia hiyo price ya 48m.
Hata 70mil bado sio mbaya, Rais aliamua tu kupiga siasa, no wonder mashirika yetu hayaendelei na yanakufa namna hii alafu tunajikuta kwenye mtanziko ule ule wa kukosa makazi mazuri. Hivi mtu anaweza kununua nyumba Magomeni kwa 70mil sasa hivi? Tena hapa naongelea zile nyumba za miaka ya uhuru, sio hizi appartments zenye kila aina ya
Social amnesties.
 
Hata 70mil bado sio mbaya, Rais aliamua tu kupiga siasa, no wonder mashirika yetu hayaendelei na yanakufa namna hii alafu tunajikuta kwenye mtanziko ule ule wa kukosa makazi mazuri. Hivi mtu anaweza kununua nyumba Magomeni kwa 70mil sasa hivi? Tena hapa naongelea zile nyumba za miaka ya uhuru, sio hizi appartments zenye kila aina ya
Social amnesties.
Hebu nipeleken kwenye hili suala la kununua hizo nyumba (either website, thread, page, agent, etc, zenye full details) na mim nifuatilie.. naona niko nyuma sijui kinachoendelea
 
KenyanPlayBoy

 

Tone 65,000 kila tone inauzwa $40.
Jumla ni $2,600,000.
Hiyo poland pekee.
Ruvuma Coal wanazalisha 100,000 kwa mwezi.
Wengine kwa ujumla wao wanazalisha 180,000 kwa mwezi. Jumla uzalishaji wa coal kwa mwezi ni wastani wa tone 280,000.
Chukua 280,000 x $40
Kila mwezi upande wa coal tunaingiza $11,200,000.
 
Tone 65,000 kila tone inauzwa $40.
Jumla ni $2,600,000.
Hiyo poland pekee.
Ruvuma Coal wanazalisha 100,000 kwa mwezi.
Wengine kwa ujumla wao wanazalisha 180,000 kwa mwezi. Jumla uzalishaji wa coal kwa mwezi ni wastani wa tone 280,000.
Chukua 280,000 x $40
Kila mwezi upande wa coal tunaingiza $11,200,000.
na yote inaenda kampuni ya uchimbaji makaa ya mawe ya ccm!
 
WAZIRI BITEKO AONGOZA KIKAO MAANDALIZI YA JUKWAA LA KIMATAIFA LA MADINI
IMG-20230218-WA0001.jpg

Dar Es Salaam

Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameongoza kikao kati ya Wizara na Kampuni za dmg events na Ocean Business Partners Tanzania ambazo zinashirikiana kuandaa Jukwaa la Kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania kwa waka 2023 kwa kushirikiana na Wizara.

Mkutano huo wa Kimataifa uliokuwa ukifanyika mwezi Februari ya kila mwaka, mwaka huu utafanyika tarehe 25-26 Oktoba, 2023 jijini Dar es Salaam.

Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika Februari 18, 2023 jijini Dar es Salaam, Waziri Dkt. Biteko amewaeleza wawakilishi wa kampuni hizo kuwa, Wizara inatarajia kupata matokeo makubwa kutokana na mkutano huo kubwa likiwa ni kuitangaza ipasavyo sekta ya Madini kimataifa ili kuhamasisha uwekezaji kutokana na nchi ya Tanzania kubarikiwa kuwa na madini mengi yakiwemo ya kimkakati ambayo yanahitajika sana duniani kwa sasa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ocean Business Partners Tanzania Balozi wa Heshima Brazil- Zanzibar Abdulsamad Abdulrahmim ameipongeza wizara ya madini kwa kukubali kushirikiana na kampuni hizo binafsi kuandaa mkutano huo ambazo zimekua na uzoefu wa miaka mingi kuandaa mikutano ya kimataifa kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi.

Amesema mbali ya mkutano huo kutarajiwa kuitangaza Sekta ya Madini, pia, itawezesha kuhamasisha uwekezaji na kuzalisha ajira kutokana na shughuli mbalimbali zitakazofanyika kipindi cha mkutano huo.
 
Back
Top Bottom