The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mna uhakika hii ni EA kweli? Kwakweli Magu alale pema peponi amen
Ila njaa Iko pale pale
Mna uhakika hii sio render kweli?Hebu tuone random kituo cha Matatu Mjini Nairobae
View attachment 2522856
View attachment 2522857
View attachment 2522858
Anzisha sasahivi tuje kucomment
Hii bagamoyo road ni noma sana mkuu, hivi Wakenya wanaijua Dar kweli? Na kama wanaijua mbona wanaifananisha na vitu vya kijinga sana.I walked 21.81 Kms yesterday through Bagamoyo road, Sam Nujoma, Morogoro Raod and Kawawa Road .
These roads are pedestrian and Cyclists friendly 100% ( International standard)
View attachment 2522874
kiko wapi? Ila cladding ya magomeni market imenihudhunisha kwa kweli haisafishwi! Imeanza kutoa michirizi!Hiki ki Tower kizuri kwa sura
View attachment 2522823
View attachment 2522824
View attachment 2522825
kiko wapi? Ila cladding ya magomeni market imenihudhunisha kwa kweli haisafishwi! Imeanza kutoa michirizi!
nahisi ni maji ya mvua yanaweka ule uchafu.hahaha usisahau kuipambanisha na Konza City kukoleza vita! Yaani hii picha utadhani si Bongo!
yenu sio... prove me wrongnkupe ushahidi gani we ndio unipe kua yetu sio.. au uoni we ndio wadai
Mashashola katika ubora wake. Hivi kweli kwa akili yako umeamua kutumia jina la Mashashola? Mtu mwenye akili timamu hawezi tumia jina hili.yenu sio... prove me wrong
mkenya anaweza sema apo ni ulaya aseeeeeeeeeeee
we ni mpumbav pita ukuyenu sio... prove me wrong
You resort to njaa, mnakuanga na uduu😂Ila njaa Iko pale pale