tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Tafuta content za jukwaa na uache uchoko wa kuniwazaNikuzoee una nini wewezaidi ya kujikomba kwa Wakenya, hebu toka huko
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Tafuta content za jukwaa na uache uchoko wa kuniwazaNikuzoee una nini wewezaidi ya kujikomba kwa Wakenya, hebu toka huko
Hukujibu swali langu wewe ni Mtanzania kweli au ndio hizi fake ID za Jamii Forums?Tafuta content za jukwaa na uache uchoko wa kuniwaza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wewe ndio mpumbavu unaefuatilia maisha ya watu.Sina muda wa kujibizana na watu wapumbavu. Wewe hapa JF unajiona umejifiicha. Huku IP adress yako TCRA wanaijua imeunganishwa na vifaa vyako vya mawasiliano.
Stupidy boy.
Ndo Ina justify miaka 6 hiyo? Naendelea kuweka mitegoKwa hiyo ile ubungo interchange imekamilika awamu ya sita??aisee wewe ni hamnazo





jibu swali umesema awamu ya Tano haijakamilisha mradi hata mmoja nimekuuliza ubungo interchange imekamilika awamu ya sita??Ndo Ina justify miaka 6 hiyo? Naendelea kuweka mitego
nletee niione.. wacha kuota mdanganyikaAcha kujifurahisha kijana double stack ya umeme inayoenda kasi iko Tz tuu.
Kipya ni nafuu maana unapata kitu kipya kabisa,bln 7 kwa service tu na ikiwa kipya kwa mfano ni b 12 ni bora kichukua kipya,na kiuhalisia b 7 kwa service kuna upigaji wa kutisha hapo
Jamaa kuomba,wizi,uongo,wivu na uchafu upo kwenye damuomba omba wa kunya si walikuwa wameviomba hahahahahaha
Cost sunk fallacy 2 huyo hajitambui,kala ban kwenye acc yake 1 ndio kaja hii shida anashindwa kubadilisha mwandikoKuna account fulani inafanana na mwandiko wako huu.
Kuna account tatu. Naendelea kuunganisha. Unaweza ukajificha lakini tabia hazijifichi
You have the old diesel double stack(double decker bus), we have the modern electric long single stack(bendy bus).The only double stacked SGR in Africa
![]()
Hizo account zote mbili nimetupa kwenye ignore listCost sunk fallacy 2 huyo hajitambui,kala ban kwenye acc yake 1 ndio kaja hii shida anashindwa kubadilisha mwandiko
Tukisema Kenya ni failed state mnadhani ni utani, polisi wamewakimbia hawa watoto na kutelekeza gari
Songoro wamenyimwa kazi kwa sababu ya bei kua kubwa kuliko hao majirani,iyo hela kwenda nje ni uzembe mkubwa sana umefanyika hapo...au labda kuna masilahi ya watu katikatiKipya ni nafuu maana unapata kitu kipya kabisa,bln 7 kwa service tu na ikiwa kipya kwa mfano ni b 12 ni bora kichukua kipya,na kiuhalisia b 7 kwa service kuna upigaji wa kutisha hapo
Tukisema Kenya ni failed state mnadhani ni utani, polisi wamewakimbia hawa watoto na kutelekeza gari
Kivuko kilinunuliwa Bil 9.. kinakarabatiwa Bil 7