Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa hii kitu ikikamilika na Mv Mwanza na Mwanza pia kuna uwezekano wa cruise ship tourism kufanyika yaani a link kati ya northern circuit and Murchison waterfalls na other tourism attractions yaani btn Kampala and Mwanza maana sijui kama Kisumu wana hoteli za hadhi ya 5 star!
Hata nairobae Mashashola n mwathadan wanajua hilo pale Kisumu ni mdomo tuu!
 
Hilo ndio lilishindikana kabisa, hiyo ni Kama ngozi ya mwili
Moi aliwapa Kalashnikovs wajilinde na kuvamiwa na wakulungwa wa Ethiopia na Uganda, saahii hawashikiki wamekuwa malicious militias cum bandits cum cattle rustlers terrorizing own Republic! Ni kama sisi tuamue leo hii kuwapa jamaa wa mpakani smgs wajilinde na jamaa wa Msumbiji!
 
Personal Observation while walking today.

Magomeni becoming an important self sufficient area.

They have a new DMDP Park, Four BRT Bus stops servicing same area from each road( Kawawa x2 morogoro road x2) They have a new Market, A Big Church, Big Mosque , Hospital, New Administration Building , Banks, New Hotel.
Definitely decongesting the City, No one will go to Kariakoo or posta and leave everything available here .

IMG_5405.jpg

IMG_5404.jpg


Adminstration Building

IMG_5407.jpg

IMG_5408.jpg



Church and Mosque opposite


IMG_5406.jpg


The Market

IMG_5409.jpg
 
Moi aliwapa Kalashnikovs wajilinde na kuvamiwa na wakulungwa wa Ethiopia na Uganda, saahii hawashikiki wamekuwa malicious militias cum bandits cum cattle rustlers terrorizing own Republic! Ni kama sisi tuamue leo hii kuwapa jamaa wa mpakani smgs wajilinde na jamaa wa Msumbiji!
Jukumu la kwanza la msingi la serikali yoyote duniani ni kulinda raia wake na Mali zao, serikali ikishindwa kutimiza jukumu hilo la msingi inakua ni "failed state", Haina tena uhalali wa kikatiba na kijamii kuwa madaraki. Kenya imewekwa katika kundi la "failed states" hasa kwasababu hiyo ya kushindwa kuwalinda raia wake, hawajaonewa kabisa.
 
Jukumu la kwanza la msingi la serikali yoyote duniani ni kulinda raia wake na Mali zao, serikali ikishindwa kutimiza jukumu hilo la msingi inakua ni "failed state", Haina tena uhalali wa kikatiba na kijamaa kuwa madaraki. Kenya imewekwa katika kundi la "failed states" hasa kwasababu hiyo ya kushindwa kuwalinda raia wake, hawajaonewa kabisa.
Wakulungwa wana Kalashnikov hawajui wazifanyie nn! soon wata-match Nairobi! We call it guns in unsafe/wrong hands! halafu huuziana silaha na Al-Shabaab jihadist!
 
Personal Observation while walking today.

Magomeni becoming an important self sufficient area.

They have a new DMDP Park, Four BRT Bus stops servicing same area from each road( Kawawa x2 morogoro road x2) They have a new Market, A Big Church, Big Mosque , Hospital, New Administration Building , Banks, New Hotel.
Definitely decongesting the City, No one will go to Kariakoo or posta and leave everything available here .

View attachment 2521391
View attachment 2521392

Adminstration Building

View attachment 2521394
View attachment 2521395


Church and Mosque opposite


View attachment 2521396

The Market

View attachment 2521398
Hilo eneo, junction ya magomeni nadhan ndo junction yenye makanisa mengi.. ukitoka juction kama unaenda fire, mita 50 hiv kutoka junction kuna kanisa la Lutheran. Kama unaenda boma, mita 150 hiv kutoka junction kuna kanisa la TAG, mbele kidogo ya TAG kuna kanisa la AICT, kama unarud kutokea Ubungo mita kama 150 nako kuna makanisa matatu upande huohuo (7th Day Adventist Church, Anglican Church na Baptist Church), mwisho kama unaenda morocco, mita 200 hiv kutoka junction nako kuna kanisa la Roman Catholic Church. Hilo eneo limebarikiwa kuna na makanisa mengi sehem moja
 
Back
Top Bottom