7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Panya road wamewahi kumuua ocd au ocss wa kituo cha Polisi hapa Tanzania?Kama panya road tu
Nyinyi askari wenyu wa GSU na wa misitu walitekwa na majambazi wakavuliwa nguo kisha wakatwangwa risasi.
Wanajitapa kwamba wataikomesha serikali na hamtafanya kitu, kweli mkaufyata







