Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiwauliza wakenya kwanini hamuwapendi watanzania. Watasema oooh mara oooh. Kumbe sababu yenyewe hii hapa.

FoRqN_3WYAAuWp3


FoRqN_4X0AEozdH
Reli ni pizza ya ukweli
 
Nadhani wewe ndio hujaelewa mkuu.Umeme unaweza ukachukuliwa Kidatu,Songasi au Nyereree Hydro Power etc na usiwe wa tanesco.Tanasco anapokea kwa mzalishani ,andafirisha na kuuza.Hivyo serikali unaweza kudesgnate njia huru for SGR.
Ni lini sheria za Tanzania zlibadilishwa kuruhusu shirika lingine zaidi ya Tanesco kusambaza umeme nchini?
 
UKisoma Comments kwenye Post hiyo
Ndio Utawashangaa Baadhi ya Watanzania Wanao Sema Kenya nindugu kiukweli Siwezi kuwa na Udugu na Mkenya mie Never Niwatu wenye Wivu,Chuki na Roho Mbaya sana Duniani
wakunya hawawezi kuwa ndugu hata siku moja, ni wabinafsi sana, wakora, wana roho za kimasikini, poor kenyans
 
Comments kwenye hii tweet, ni kuwa, watu wa mataifa mengine wengi wamecomment congratulations Tanzania, comments za wakenya sasa
  • Made in Kenya
  • Built in Kenya
  • A win for East Africa
  • Was it built 100% by Tanzanians?
  • Their ships are built by our military
  • Was designed in Kenya, most of workers were kenyans
  • Is it working?
  • You mean assembled or?
  • Is it locally built or locally assemblied?

Na comments nyingine nyingi za wivu 💉💉
Na bado mpk watakapoamka wote na kugundua Tanzania sio level yao

Tuna jirani mbaya mno mwenye wivu na umaskini uliotukuka
 
imagine and we still have a bigger economy than danganyika. Imagine how poor danganyika is kama mnashindwa na kenya while we still have all this problems
With your "white big economy" but you are the least country in development projects, you have the biggest external debts which you can't pay, and your people are dying of hunger like cattle, that is how big economy serves you stupid people
 
Back
Top Bottom