joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hapa nimefurahi vizuri tu. Sasa huku Tanzania tunafanya "Bone marrow transplant" na tinaweka balloon kwa watu wenye "over weight" katika Hospitali za serikali, huko kwenu hivi vitu vinafanyika?Ni mara ngapi hapa tumeweka hospitali za kitaifa na counties, nyinyi sijui nini kinawasumbua.
Haya hii ni hospitali iliyojengwa na serikali ya nakuru, umefurahi? View attachment 2519680View attachment 2519681View attachment 2519683


