Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha, sisi ambao hatuna tatizo kubwa la ukame Kama huko kwenu, lakini tunawaongoza zaidi ya mara 3 katika "Irrigation schemes", Hiyo inakuonyesha ni jinsi gani mlivyo wazembe wakubwa
Utakuaje na tatizo la umeme wakati demand ipo chini?
 
Ulisema 1800s = 18th Century, mbona sahii unaleta link inayosema ni 19th century?
Nimekuambia tafuta mtu size yako Mimi sio level yako.
Nilipoandika kwamba mnajenga reli ya 1800s, ulisema hiyo 1800s inaishia 1809, wakati train ya kwanza ilijengwa 1825, Sasa nimekuonyesha kwamba 1800s covers to 1899, kwahiyo hiyo 1825 is included, umepatwa na aibu unajaribu kutafuta njia ya kukimbia. Mimi sio "level" yako, usinipotezee muda wangu.
 
1.TPA towers
2,3.PSPF towers A,&B
4.MNF towers
5,6.BOT towers
7.PPF tower
8.Millenium Tower
9.Rita tower
10.Uhuru Heights Tower
Screenshot_20230214_144647_Twitter.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Hizo 2 or 3 ulizosema nazijaza hapa halafu uongeze number nyingine nizijaze pia

1. Shekilango road
2. Kawawa road
3. Uhuru road
Achana na mkazi wa Kibera huyo mtaa wa Idrissa Magomeni ni dual carriageway mimi nimezaliwa nimeikuta hizo main roads wala usizitaje kuna kima alisema hivyo hivyo tukamuwekea list humu akakimbia. Anaona dual carriageway ni kitu cha maana sana.
 
Magufuli alisema tuombe sababu ya gonjwa geni duniani lisilo na tiba wala chanjo na linaua mamilioni ya watu duniani kiasi wanasayansi na technologies zote zimeshindwa, kunyans walimtukana na kutuita majina ya kila namna

Nashangaa wao leo wanaomba ukame na njaa viondoke, hivi na waarabu wenye ukame Promax na wenyewe wanashughulikiaga changamoto zao namna hii? Last time wao ndio waliwapa msaada wa chakula, Ukraine nayo yenye machafuko pomoni?


Wamesha Yasahau ndio Shida ya Mwanadamu
 
1800s = 1800 - 1809
Usitumie terms hujui wee fala. Naelewa hukusoma sana ila hicho ni kitu cha kawaida hata kwa watu ambao hawajasoma.
Hii umejifunzia wapi?

1800s may refer to: The century from 1800 to 1899, almost synonymous with the 19th century (1801–1900) 1800s (decade), the period from 1800 to 1809.
 
Haya sasa tunaendelea na mambo yetu ya watanzania.
73be561c-b1fb-49bb-8524-930a04136b6b.jpg


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kushuhudia utiaji saini wa Mikataba 26 ya Gridi Imara yenye thamani ya Shilingi Trillion 1.9. Hafla ya utiaji saini Mikataba ya kuimarisha Gridi ya Taifa na usambazaji wa umeme Vijijini imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Februari, 2023.
 
JE HAMTAKI?


9d319d0f-ef36-454e-b521-0cae2f3f96cf.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini REA Eng. Hassan Saidy pamoja na Mwanasheria wa REA Mussa Muze wakati wakitia saini Mikataba ya kupeleka Umeme maeneo mbalimbali nchini kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Februari, 2023.
 
Hii umejifunzia wapi?

1800s may refer to: The century from 1800 to 1899, almost synonymous with the 19th century (1801–1900) 1800s (decade), the period from 1800 to 1809
Nimesema 1800s = 1800 - 1809
Mwenzako amesema 1800s = 18th century (something I'm sure hata wewe ulikuwa unajua hivo). Kati yetu wawili nani ako wrong?
 
Back
Top Bottom