ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani hapo chini kunapitann ?? Hebu tuambie wewe mjuaji 🤣🤣🤣🤣Fanya pavement hapa kwanza ndio uje na povu
View attachment 2510335
Kwani hapo chini kunapitann ?? Hebu tuambie wewe mjuaji 🤣🤣🤣🤣Fanya pavement hapa kwanza ndio uje na povu
View attachment 2510335
Hehehehe ndio maana nikakwambia acha utaumia, wewe baki na roads za kwenye makaratasi lkn ukija ground kuhusu km of paved roads sio size yenu kabisa, tuko mbali mnooo.Were we not comparing Kibera roads with those found in your uswazi hovels? Hiyo barabara uliyoleta ipo uswazini kule Tandale, Mabibo, Mazense, Gongo la mboto ama Buguruni?
Tatizo ukungu, hewa ya hapo ina huo mmea, ukipaka rangi leo, kesho unaota. Sjui kwa nini NHC huwa hawaweki dawa yakuzuia ukungu kwenye rangi. Mbona St Joseph huwa rangi zinakaa muda mrefu bila kuharibika?Imefika muda kuna majengo yapo pale CBD ni mazuri lkn rangi imechakaa basi waamrishwe kupaka rangi au wavunje hayo majengo yanaharibu picha nzuri ya CBD yetu safi.
Hawa jamaa wako na matatizo ya akili, sio bureWakenya hawana akili mkuu, wanakwambia expressway imepitisha gari ishirini kwa siku lkn hawajiulizi mbn zinapita gari tano tu zile zile, wanashangilia hawajui kwamba ni gari hizo hizo ila frequency inasoma 20. Hawajiulizi mbn road ni nyeupe na mamia ya gari zinapita chini, hilo hawataki kujiuliza, wanachotaka wao ni kwenda kwenye forum na kushindana na Watz tu.
Construction continues, tuliza mshono, bado mradi haujakamilikaFanya pavement hapa kwanza ndio uje na povu
View attachment 2510335
Nilijua tu huna jibu. Badala ya kuleta barabara za uswazini sasa umebaki ukitapatapa tuHehehehe ndio maana nikakwambia acha utaumia, wewe baki na roads za kwenye makaratasi lkn ukija ground kuhusu km of paved roads sio size yenu kabisa, tuko mbali mnooo.View attachment 2510367View attachment 2510368View attachment 2510369
Excuse galoreConstruction continues, tuliza mshono, bado mradi haujakamilika
Hapo chini kunapita mibongolalaKwani hapo chini kunapitann ?? Hebu tuambie wewe mjuaji 🤣🤣🤣🤣
Probably the only Defender 130 in East Africa.
Dah hii hatari sana kwa elimu ya nchi. Kumbe walmu wetu huku wana enjoy sana kimaslahi.
Nendeni mkaondoe walevi wenu Kule DRC wananchi hawawatakiExcuse galore
Nikama ni pesa zako zimetumika bana,punguza wivu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] 4b kaaah hata pesa iliokusanywa expressway 7 months ni nusu yake
🤣🤣🤣🤣 namulivo na njaa kwenye comment yako imejaa machozi na kamasi lita 40Nikama ni pesa zako zimetumika bana,punguza wivu
Unajua vocabulary ni nini bongolala ama wewe ni kuongea tu?So, now the phrase slum has got a new vocabulary kwamba all unplanned settlement ni slums.
Nini inasikitisha hapo? 😂Duh nyie watu mnasikitisha sana.