Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi uko na akili kweli?, Punguza ujinga kidogo basi. Rekodi inayowekwa ni kila gari linapopita na linapotizwa pesa, wewe ukipita asubuhi utatozwa pesa, hapo itasomeka gari Moja limepita, ukirudi jioni utatozwa Tena pesa na itasomeka gari lingine Tena limepita, endapo siku hiyo hakuna gari lolote lililopita, katika records zao jioni watahesabu kwamba katika hiyo siku ni gari mbili tu zilipita na mapato yataonyesha ya gari mbili siku hiyo, sio gari Moja.
What do you understand by the word customer? Fungueni link msome muelewe acheni ufala.

Hayo maelezo mengine jielezee maanake hizo ni vitu obvious kwa watu wanaojielewa.
 
Arusha
peacemathew_-20230208-0001.jpg
peacemathew_-20230208-0002.jpg
peacemathew_-20230208-0003.jpg
 
Huyo jamaa ni hovyo Kama jeshi lao lilivyo hovyo, yaani jambo la kawaida kabisa haelewi, hovyo Sana wakenya
So anataka kuaminisha dunia kua wanamagari mengi kuliko dar kwa kutumia data za kupika as usual 🤣🤣🤣🤣 ndio maana akaitwa zwazwa wa aina yake
Hao watu ni wajinga sana.. yapo kama manguruwe..wapo wapo tu.
Na wanapenda sifa za kijinga zisizowahusu wala haziwasaidii chochote
 
Huyo jamaa ni hovyo Kama jeshi lao lilivyo hovyo, yaani jambo la kawaida kabisa haelewi, hovyo Sana wakenya
Ukinidharau unadhan nitakosa kula leo? Nitakonda? 😆 dharau zako zitanisaidia nn mim? nakupa ruhusa unidharau miaka yote🤣
Hebu naombeni muskilize hii habari kwa umakini kidogo gari zilizopita ni 10k in 7 months 🤣🤣🤣🤣 10m trips
 
Hebu naombeni muskilize hii habari kwa umakini kidogo gari zilizopita ni 10k in 7 months [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 10m trips
Hapo wanazungumzia idadi ya "trips" zilizopita hapo, jumla ya "trips" ni 10M, na Kila trip Moja ni Ksh 200, jumla ni Ksh. 2B.

Tatizo la wakenya ni uwezo mdogo wa kufikiri, Hadi kwa viongozi wao shida ni hiyo hiyo. Hovyo Sana hawa jamaa.
 
Hapo wanazungumzia idadi ya "trips" zilizopita hapo, jumla ya "trips" ni 10M, na Kila trip Moja ni Ksh 2, jumla ni Ksh. 2B.

Tatizo la wakenya ni uwezo mdogo wa kufikiri, Hadi kwa viongozi wao shida ni hiyo hiyo. Hovyo Sana hawa jamaa.
Unachanganya madesa ya Maths mkuu, au ndo walewale Maths inawapiga chenga, hope umeteleza 😅..
anyway, kwa maelezo yako.. kama jumla ni Ksh 2B na kuna trips 10M, basi kwa kila trip moja ni Ksh 200
 
What do you understand by the word customer? Fungueni link msome muelewe acheni ufala.

Hayo maelezo mengine jielezee maanake hizo ni vitu obvious kwa watu wanaojielewa.
Ninyi ni wajinga hamuwezi kushindana na sisi, wapuuzi ninyi, hamna akili kabisa, sikiliza huyo mchina anazungumzia "10M trips" sio vehicles.

Kuna "10M" trips zimefamyika ndani ya miezi 7, na Kila "trip" Moja ni 200Ksh. Kwahiyo hizo 10M trips, wamepata Kshs 2B.

Hiyo haijalishi kwamba gari Moja limepita mara ngapi ndani ya hicho kipindi Cha miezi 7. Kama Kuna mfanyakazi wa Airport Amelipa akipita mara 2 kwa siku Moja kwenda kazini na kurudi, hizo ni "two trips", kwa miezi Saba gari lake idadi ya trips ni: 2trps per day x 5days per week x 4wks per month x7months = 280trps.

Hovyo Sana ninyi wakenya
 
Ninyi ni wajinga hamuwezi kushindana na sisi, wapuuzi ninyi, hamna akili kabisa, sikiliza huyo mchina anazungumzia "10M trips" sio vehicles.

Kuna "10M" trips zimefamyika ndani ya miezi 7, na Kila "trip" Moja ni 2Ksh. Kwahiyo hizo 10M trips, wamepata Kshs 2B.

Hiyo haijalishi kwamba gari Moja limepita mara ngapi ndani ya hicho kipindi Cha miezi 7. Kama Kuna mfanyakazi wa Airport Amelia akipita mara 2 kwa siku Moja kwenda kazini na kurudi, hizo ni "two trips", kwa miezi Sana gari lake idadi ya trips ni: 2trps per day x 5days per week x 4wks per month x7months = 280trps.

Hovyo Sana ninyi wakenya
Na kasema gari zilizopita ni 10k 😁😁
 
Unachanganya madesa ya Maths mkuu, au ndo walewale Maths inawapiga chenga, hope umeteleza [emoji28]..
anyway, kwa maelezo yako.. kama jumla ni Ksh 2B na kuna trips 10M, basi kwa kila trip moja ni Ksh 200
Kweli ni Ksh 200, nilichanganya hapo kidogo[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom