Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye logistics tumekubaliana wakenya wamesanda
IMG_20230208_132406.jpg
 
Hivi uko na akili kweli?, Punguza ujinga kidogo basi. Rekodi inayowekwa ni kila gari linapopita na linapotizwa pesa, wewe ukipita asubuhi utatozwa pesa, hapo itasomeka gari Moja limepita, ukirudi jioni utatozwa Tena pesa na itasomeka gari lingine Tena limepita, endapo siku hiyo hakuna gari lolote lililopita, katika records zao jioni watahesabu kwamba katika hiyo siku ni gari mbili tu zilipita na mapato yataonyesha ya gari mbili siku hiyo, sio gari Moja.
Wakenya hawana akili mkuu, wanakwambia expressway imepitisha gari ishirini kwa siku lkn hawajiulizi mbn zinapita gari tano tu zile zile, wanashangilia hawajui kwamba ni gari hizo hizo ila frequency inasoma 20. Hawajiulizi mbn road ni nyeupe na mamia ya gari zinapita chini, hilo hawataki kujiuliza, wanachotaka wao ni kwenda kwenye forum na kushindana na Watz tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani karibu ya Nembo yenyewe kabisa, yaani location matata. ila ya mkulungwa kapiga picha yeye au screen shot maana hata quality ya shida[emoji23] inaumiza macho.
Aliikata Tz alidhani hatutaona, wana chuki kali sn dhidi ya Tanzania nchi inayowalisha.
 
Fala wewe hiyo ni highway inaweza pita popote hata mbugani, onesha street roads za kibera kama mm ninavyoonesha street roads za uswazi.
Kwa hivyo umekubali hakuna popote uswazini Dar iko na barabara kama hiyo ya Kibera?!😂😂

By street roads sijui unamaanisha nini but if you meant access roads then zipo nyingi sana
images - 2023-02-08T125212.098.jpeg
images - 2023-02-08T125312.625.jpeg
images - 2023-02-08T131952.476.jpeg
 
Fanya pavement hapa kwanza ndio uje na povu
View attachment 2510335
Eneo la reli hilo na isitoshe treni inapita juu na hapo hakuna mazingira ya kufanya paving, ingekuwa kuna muingiliano na watu pangefanyiwa pavement kama hapa [emoji116] [emoji116] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MWT-Mwanzo-qopg7VquC7KaeM.jpg
 
Back
Top Bottom