Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imeshadunguliwa kitambo hiyo ballon kwenye ufukwe wa Corolina.

Haikupigwa mapema kwasababu walitaka isiwe maeneo ya watu ili isilete madhara, pia hawakujua imebeba nini.

Baada ya kufika baharini ndipo ikapigwa bomu, muda wote ilikuwa ikisindikizwa na ndege za kivita. Lakini NASA walizima mawasiliano yote ambayo ilikuwa imekusanya ili itume Uchina.

Kwahiyo taarifa iliyokuwa imekusanya haikwenda ndio maana China analalamika ballon yake kupigwa..

Balloon ya pili iko South America na siyo ndani ya US maana imezunguka kwenye angala la Venezuela na nchi jirani halafu ikaondoka.
Usiseme taarifa haikwenda huwez jua ni technology gani imetumika na china alicholalamika kwann marekani akija kufanya upelelezi wake kwenye anga ya kimataifa china hafanywi kitu kwann marekani anatungua baloon kwenye anga ya kimataifa na china kamjibu marekani kua chochote cha marekani kitakachoonekana juu ya anga ya kimataifa upande wa china atakiripua hii inaonesha china alikua anatafuta sababu tu 😆😆

Hii vita ni mbaya sana kwa marekani ndio maana anajishuku sana juu ya techhology za wengine na baloon haikua moja kuna nyingine ilitokea upande wa mexico

China kwa sasa ni tishio kwa ulimwengu kwenye kila kitu
 
Mwenye uchumi mkubwa anamuogopa mwenye uchumi mdogo 😂😂😂

Tell me you fear me without showing your inferiority syndrome 🤣

Wakati wanaimport kutoka overseas hawakuona kama wana resources za fertilizers ila baada ya kuona Tanzania is their next potential supplier 🤣


Yani hawa watu sio tu ni chuki ndio inawasumbua lakini wako tayari iwe rwanda au uganda ila sio tanzania yani wakiskia tanzania kwao ni kuhara tu muda wote yani kwa lugha fupi tanzania ndio mhasimu wao wanadhani hvo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nyang'au wamepata mshtuko wa moyo baada ya kuona serikali yao inaagiza mbolea kutoka Tz , ha ha ha.
Hao jamaa in 10 years watakuwa wanaagiza everything from Tanzania almost 90% of their imports zitatoka Tanzania.

Ngoja miradi ya umene ikamilike umeme utakuwa very cheap plus reliable maana transmission inaendelea kuboreshwa halafu pia logistics za transport kama reli na ports zimeboreshwa investors watafurika sana kwenye kongani za biashara.
 
Naomba picha za huyu jamaa huwa ananichekesha sn sura yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20230207_111627.jpg
 
Back
Top Bottom