Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 888
- 1,055
[emoji116][emoji116]
I like how Kenyans are responding to this useless video.
[emoji116][emoji116]
Kua negative ni sign ya nn?kwamba Dar inafanana na Narok na umeungana nae?Ndio maana hata mmefanya nn kizuri wabongo hawataki kusema watatafuta slums zenu wapost...chokochoko hua mnazianza wenyeweI like how Kenyans are responding to this useless video.
View attachment 2508759View attachment 2508765View attachment 2508767View attachment 2508768View attachment 2508770
So argument yako ni kwamba Nairobi haina barabara busy za kuingia na kutoka mjini Ama what's exactly your point? 😂Road moja kuwa busy haimaanishi wingi wa gari za hiyo nchi inategemea na umuhimu wa hiyo road na kukosekana njia nyingine mbadala, sisi tuna road nyingi tofauti tofauti za kuingia na kutoka na zote zipo busy.
1. Kulikuwa na haja ya mwenye video kutaja Wakenya?Kua negative ni sign ya nn?kwamba Dar inafanana na Narok na umeungana nae?Ndio maana hata mmefanya nn kizuri wabongo hawataki kusema watatafuta slums zenu wapost...chokochoko hua mnazianza wenyewe
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Huyo na yule kilaza mwenzake Thebest huendeshwa na hisia kali sana! I wonder what they gain by disputing everything and bringing useless, unnecessary arguments
Mwenye channel ni mkenya mwenzenu, anawaambia ukweli mchunguI like how Kenyans are responding to this useless video.
View attachment 2508759View attachment 2508765View attachment 2508767View attachment 2508768View attachment 2508770
Kama vile tuusan anawaambia alafu mnabaki mkimtusi.Mwenye channel ni mkenya mwenzenu, anawaambia ukweli mchungu
Stop looking for flimsy excuses. KDF are also in DRC under East African Community Regional Force and so far have made a lot of progress in restoring peace in eastern DRC than your army achieved under UNAkili yako ni ndogo sana,jeshi la Tz lilishawahi kufanya mission na likafanikiwa,
Waliopo ni wale walio chini ya UN pekee tena wamechanganyika kutoka nchi tofauti tofauti
Bongolala mbona mnapenda ubishi za kijinga hivi? Hebu tueleze ni wapi Thika road na Mombasa road hukutana na kuwa barabara moja? Mombasa road iko eastern side of Nairobi wakati Thika road iko northern part of it.Mombasa Road ndio hiyo hiyo Thika Road 😂😂😂
One road cut across Nairobi with different names from each direction 🤣
View attachment 2507918
Huu mradi utakapoanza kufanya kazi rasmi ndio tunaweza angalia tija yake...kwa sasa tunahope kwasababu ya miundombinu unayowekwa...Ufanisi unatakiwa uwe wa kiwango cha juu sana ili kuupa thamaniUtakuta mtu anaifananisha ni vitu vya kipumbavu
View attachment 2508789View attachment 2508790View attachment 2508791
Better that than this
Mitanzania are all cut from the same piece of cloth. People who think they know yet they know nothing, if any.Hauna hoja kwakua hauna facts za backup claims zako zaidi ya kutaka kuhamasisha watu wakubaliane na unachoamini.
Uhalisia hauendeshwi kwa imani.
Nairobi kwa idadi ya watu haizidi Dar es salaam. Nairobi in population ya watu 4M kati yao 75% wanaishi kwenye madebe Kibera, Mathare. Watu 8 out of 10 ya 4M wanalala na njaa ama kula bila kushiba kila siku.
Idadi ya umiliki wa vyombo vya electronic ni chache sana, achia mbali magari. Mtu anaye lala na njaa na kuishi na mbuzi bandani hela ya gari anatoa wapi?
Wasouth Africa wanaumiliki mkubwa wa magari lakini 98% ni magari ya mikopo.
Maumivu gani kwa cosmetic change? Hiyo terminal ni medieval sana hata ukitembea humo ndani inabidi uinamishe kichwa kidogo ceiling ina hang very low na viduka viko uchochoroni utasema uko pipeline.
Si ulisema Nairobi iko na barabara moja au sio wewe tena? After umepewa za uso umeanza kututajia barabara zinazotaka Dar city center kwenda nje ya Dar na mikoani. Sasa sisi pia Tulianza kutaja barabara zinazotaja cbd kwenda nje ya Nairobi si utalia?Acha uongo hiyo A7 umeitoa wapi? Dar kuna Morogoro road T1 ambayo ni 10 -16 lanes, Bagamoyo road 6 -8 lanes, Mandela road 6 lanes, Kilwa road 6 lanes.
Hizi barabara zote zinatoka city centre moja kwa moja kwenda nje ya Dar to mikoa mingine.
Kujifariji sio mbaya. Uguza maumivu polepoleWakunya wameingia Uhuru park kwenye free WIFI. Mtu mmoja accounts 5. 🤣 🤣 🤣 🤣. Anapost na kujijibu mwenyewe.