Imeshadunguliwa kitambo hiyo ballon kwenye ufukwe wa Corolina.Kuna china spy balloon kama mbili za kijasusi zinazunguka america na canada huko naskia wazungu hawalali wamejaribu kutungua imeshindikana wanazipeleleza kutumia f22 raptor pamoja na stealth bomber yao lakini wapi bado inawasumbua
Alaf anakuja mtu anakwambia china haina technology hehehe yani watu bado wanadhani dunia imesmamia ulaya tu[emoji38][emoji38]
Yani mkenya anamtambia mtz kwa Airpot alafu Airpot yenyewe ni JKIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo aliyepost ni mkenya mwenzio so nenda ukamlilie yeye sio mm tafadhali.I like how Kenyans are responding to this useless video.
View attachment 2508759View attachment 2508765View attachment 2508767View attachment 2508768View attachment 2508770
Yani mtanzania anasahau it is the busiest airport in the region and also the gateway to the region? 😂😂😂 Umia polepoleYani mkenya anamtambia mtz kwa Airpot alafu Airpot yenyewe ni JKIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenye video ni mkenya mwenzenu kakubali Dar iko mbali kwa ss kuliko ka Nairobi na iko very clean kwani we huoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Kulikuwa na haja ya mwenye video kutaja Wakenya?
2. Angalia comment za Wabongo kwa hiyo video, umeona zikiwa positive? You get the energy you give.
Zilipendwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani mtanzania anasahau it is the busiest airport in the region and also the gateway to the region? [emoji23][emoji23][emoji23] Umia polepole
Hehehehe hilo ni eneo la reli kichaa wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Better that than this View attachment 2508811
Neno slum imetumika figuratively ndio maana hata imewekwa kwenye quotes. Sasa Kilimani na Kileleleshwa zikiwa slums zile uswazi zenu za bati zilizoliwa na mchwa tutaitaje?Baada ya pipeline, kibra, mathare,kangemi nk nk
Sasa Kilimani na kileleshwa[emoji23]....
Halafu wako kujisifia eti slums zinapungua Nairobi....kumbe zinaongezeka maradufu...
View attachment 2508890
Asante kwa kukubali ukweli asante sana [emoji1666][emoji1666]Nairobi has many bad sides, but it is maturing gracefully beautiful
View attachment 2508820
Zilipendwa? 😂😂😂😂 Niletee airport inayohandle passengers wengi kuliko JKIA hapa EA tuoneZilipendwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe si mtaalamu wa kubadilisha takwimu Google? Ulisema unge update ma slums yaliyopo huko kwenu yasionekane, sasa ndiyo uka update na hiyo inayosema more than 2.5 mil slum dwellers reside in Kibera.Mitanzania are all cut from the same piece of cloth. People who think they know yet they know nothing, if any.
Naona unashuku elimu ya mwenzako na kusema kwamba yeye anakariri mawazo yake wala hatumii facts. Sasa niko na swali kwako wewe uliyesoma na kutumia facts. How is it possible for 2.5 million people to fit in a small area like Kibera measuring a paltry 2.5 square kilometers? That's a population density of 1 million people per square kilometer. Hebu tumia hiyo 'elimu' yako utuambie how factual this one is now that wewe ndio msomi kuliko kabla ya kunyoshea wengine mkono wote hapa ndani
Wewe unaona nini hapo chini?Sasa hii umepost kuonesha nn ?? Hebu tuambie wewe sasa 🤣🤣🤣 au kwa akili yako unafkiri kuna barabara hapo inapita ?
Zizi la ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]It must be paining you so much, especially when you remember that it handles more passengers than your mabati rolling mills, that it is the gateway to the region, and that it's ranked one of the best in the continent. Hayo mambo matatu hayawezi kukupa nafuu na amani hata kidogo
Does that change anything bongolala? Isn't it not a stone throw away from your city center?Hehehehe hilo ni eneo la reli kichaa wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo zizi la ng'ombe inashinda mabati rolling mills kwa vigezo vyoteZizi la ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujaleta data ya magari zinazobeba daily which was the main bone of contention1. Mandela road
2. Ali Hassan Mwinyi road
3. Morogoro road
4. Kilwa road
Stupid Kunyan, which progress?. KDF has failed terribly in DRC to stop M23 from advancing, the residents of DRC don't like to see Kenyan soilders in their country because is a useless army.Stop looking for flimsy excuses. KDF are also in DRC under East African Community Regional Force and so far have made a lot of progress in restoring peace in eastern DRC than your army achieved under UN
Atakuletea za maonyesho full make upFord raptor 2022/2023View attachment 2508217View attachment 2508219