Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya pipeline, kibra, mathare,kangemi nk nk

Sasa Kilimani na kileleshwa[emoji23]....

Halafu wako kujisifia eti slums zinapungua Nairobi....kumbe zinaongezeka maradufu...


Screenshot_20230206-222549.jpg
 
Kuna china spy balloon kama mbili za kijasusi zinazunguka america na canada huko naskia wazungu hawalali wamejaribu kutungua imeshindikana wanazipeleleza kutumia f22 raptor pamoja na stealth bomber yao lakini wapi bado inawasumbua

Alaf anakuja mtu anakwambia china haina technology hehehe yani watu bado wanadhani dunia imesmamia ulaya tu[emoji38][emoji38]






Imeshadunguliwa kitambo hiyo ballon kwenye ufukwe wa Corolina.

Haikupigwa mapema kwasababu walitaka isiwe maeneo ya watu ili isilete madhara, pia hawakujua imebeba nini.

Baada ya kufika baharini ndipo ikapigwa bomu, muda wote ilikuwa ikisindikizwa na ndege za kivita. Lakini NASA walizima mawasiliano yote ambayo ilikuwa imekusanya ili itume Uchina.

Kwahiyo taarifa iliyokuwa imekusanya haikwenda ndio maana China analalamika ballon yake kupigwa..

Balloon ya pili iko South America na siyo ndani ya US maana imezunguka kwenye angala la Venezuela na nchi jirani halafu ikaondoka.
 
Yani mkenya anamtambia mtz kwa Airpot alafu Airpot yenyewe ni JKIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani mtanzania anasahau it is the busiest airport in the region and also the gateway to the region? 😂😂😂 Umia polepole
 
1. Kulikuwa na haja ya mwenye video kutaja Wakenya?
2. Angalia comment za Wabongo kwa hiyo video, umeona zikiwa positive? You get the energy you give.
Mwenye video ni mkenya mwenzenu kakubali Dar iko mbali kwa ss kuliko ka Nairobi na iko very clean kwani we huoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani mtanzania anasahau it is the busiest airport in the region and also the gateway to the region? [emoji23][emoji23][emoji23] Umia polepole
Zilipendwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baada ya pipeline, kibra, mathare,kangemi nk nk

Sasa Kilimani na kileleshwa[emoji23]....

Halafu wako kujisifia eti slums zinapungua Nairobi....kumbe zinaongezeka maradufu...


View attachment 2508890
Neno slum imetumika figuratively ndio maana hata imewekwa kwenye quotes. Sasa Kilimani na Kileleleshwa zikiwa slums zile uswazi zenu za bati zilizoliwa na mchwa tutaitaje?
 
Zilipendwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zilipendwa? 😂😂😂😂 Niletee airport inayohandle passengers wengi kuliko JKIA hapa EA tuone
 
Mitanzania are all cut from the same piece of cloth. People who think they know yet they know nothing, if any.

Naona unashuku elimu ya mwenzako na kusema kwamba yeye anakariri mawazo yake wala hatumii facts. Sasa niko na swali kwako wewe uliyesoma na kutumia facts. How is it possible for 2.5 million people to fit in a small area like Kibera measuring a paltry 2.5 square kilometers? That's a population density of 1 million people per square kilometer. Hebu tumia hiyo 'elimu' yako utuambie how factual this one is now that wewe ndio msomi kuliko kabla ya kunyoshea wengine mkono wote hapa ndani
Wewe si mtaalamu wa kubadilisha takwimu Google? Ulisema unge update ma slums yaliyopo huko kwenu yasionekane, sasa ndiyo uka update na hiyo inayosema more than 2.5 mil slum dwellers reside in Kibera.
 
It must be paining you so much, especially when you remember that it handles more passengers than your mabati rolling mills, that it is the gateway to the region, and that it's ranked one of the best in the continent. Hayo mambo matatu hayawezi kukupa nafuu na amani hata kidogo
Zizi la ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hehehehe hilo ni eneo la reli kichaa wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Does that change anything bongolala? Isn't it not a stone throw away from your city center?
 
Stop looking for flimsy excuses. KDF are also in DRC under East African Community Regional Force and so far have made a lot of progress in restoring peace in eastern DRC than your army achieved under UN
Stupid Kunyan, which progress?. KDF has failed terribly in DRC to stop M23 from advancing, the residents of DRC don't like to see Kenyan soilders in their country because is a useless army.


This is what TPDF did to M23 and defeated the group 9 years ago
 
Back
Top Bottom