Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Denial haitakusadia kijana
Nimekaa sana hapo makumbusho karibu kabisa na kanisa la KKKT nikahamia Makongo juu, ukiniambia sipafahamu Dar utakua unatafuta maneno tu,

Sasa mnavyonishambulia kwa maneno makali ndio ilo mshinde hoja ?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hauna hoja kwakua hauna facts za backup claims zako zaidi ya kutaka kuhamasisha watu wakubaliane na unachoamini.

Uhalisia hauendeshwi kwa imani.

Nairobi kwa idadi ya watu haizidi Dar es salaam. Nairobi in population ya watu 4M kati yao 75% wanaishi kwenye madebe Kibera, Mathare. Watu 8 out of 10 ya 4M wanalala na njaa ama kula bila kushiba kila siku.

Idadi ya umiliki wa vyombo vya electronic ni chache sana, achia mbali magari. Mtu anaye lala na njaa na kuishi na mbuzi bandani hela ya gari anatoa wapi?

Wasouth Africa wanaumiliki mkubwa wa magari lakini 98% ni magari ya mikopo.
 
Ukidrive kutoka mjini hadi Moro ukitoa mabasi na malori private cars sio nyingi baada ya kufika kibaha kuendelea...ukifika Morogoro penyewe ndio utagundua gari ni chache sana nje ya Dar...Nashuku magari mengi ya Tz yako Dar...Bahati nzuri hua nasafiri sana mikoani kwahyo nnauhakika na nnalosema

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nilijua ya kuwa huna data zaidi ya imani unayojenga kwa jajiment ya macho.

Miaka ya huko nyuma, wasio na elimu waliamini kuwa Dunia ni flat kutokana na kuamini macho. Pia mpaka leo wapo wengi wanaamini or kuakinishwa na vitabu vya dini kuwa kuna mahala panaitwa "Mbinguni" na mbungu iko iko Mawinguni.

Ni vyema kuwa na mijadala ya namna hii kwakua inatupa mwanga kujua ni wapi kati yetu wenye changamoto ya elimu.
 
Sasa kwa taarifa yako hakuna njia ina magari mengi kama dar to dom asikudanganye yoyote mm juzi tu nimetoka mwanza kuja dar nimeona adha ya foleni na magari yalivo mengi ww hujiulizi kwann inakuchukia masaa matano kutoka dar to moro na ni 194km na inakuchukua another 6 to 7 hours from moro to dom wakat ni 240km sisi tumetembea na tumejionea mzee🤣
Msamehe, nimegundua mwana ana changamoto kubwa ya kielimu.
 
Si ulisema mwenyewe Nairobi tuna barabara moja pekee inayoingia mjini, sasa hizi tatu zimetoka wapi?
Wacha nikutoe ujinga kidogo - Nairobi umeweka barabara tatu pekee - Thika Road, Mombasa Road na Waiyaki way amabzo ni class A roads zinazoingia mjini. Dar umeweka vibarbara vyote vinavyoingia mjini hata visivyo na hadhi. Class A road ni moja pekee hapo. Morogoro road. Kwa hivo tukilinganisha apples to apples - Nairobi ni tatu Dar ni moja. Shida yako wewe ni layman kwa haya mambo ya barabara.

Dar - Class A road ni Morogoro pekee (A7)

View attachment 2507741

Nairobi Class a Roads ni Thika Road, Mombasa Road na Waiyaki Way.
Waiyaki Way (A104/A8)
View attachment 2507743

Mombasa Road (A104/A8)
View attachment 2507745

Thika Road (A2)
View attachment 2507747

Haya, sasa soma map kiupooole uelewe ndio upayuke. Usituletee hapa vichorchoro ukidhani ni barabara kubwa.

Nairobi 3 - Dar 1.
Acha uongo hiyo A7 umeitoa wapi? Dar kuna Morogoro road T1 ambayo ni 10 -16 lanes, Bagamoyo road 6 -8 lanes, Mandela road 6 lanes, Kilwa road 6 lanes.

Hizi barabara zote zinatoka city centre moja kwa moja kwenda nje ya Dar to mikoa mingine.
 
Naipori njia ya kuingia na kutoka CBD ni moja tuu nayo ni Mombasa road hiyo thika yenyewe haianzii cbd.
Mombasa Road ndio hiyo hiyo Thika Road 😂😂😂

One road cut across Nairobi with different names from each direction 🤣

Screenshot_20230206-060327.png
 
Acheni upumbabi! Nunueni maliro, jengeni barabara mzuri. Stop this nonsense of delivery one dose of panado via a drone Halafu mnajiona mepiga hatua. Acheni ujinga! Jengeni a real supply chain! Sio katuni hizi!
Mbona hao jamaa wako Mwanza kwa miaka mingii?

 
Back
Top Bottom