Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FYI just under 1/2 of Dar is not built up. Yani ni ushagoo

View attachment 2507654
Siku nyingine fanya kuzoom ujifunze 🤣🤣 hebu tuoneshe pori hapo
Screenshot_20230205-213506.png

Screenshot_20230205-213605.png
 
Tulishafanya permutations hapa kuhakikisha kuwa Kenya yote haina magari mengi kuliko Tanzania
Ukidrive kutoka mjini hadi Moro ukitoa mabasi na malori private cars sio nyingi baada ya kufika kibaha kuendelea...ukifika Morogoro penyewe ndio utagundua gari ni chache sana nje ya Dar...Nashuku magari mengi ya Tz yako Dar...Bahati nzuri hua nasafiri sana mikoani kwahyo nnauhakika na nnalosema

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Naona mwengine anazoom section different na zenye nimepost. Narudia, 621 sq. km of Dar ni ushagoo.

Dar.jpg

Meanwhile, Nairobi built up area imeexpand outside Nairobi County. Ruiru municipality pekee ni kubwa kushinda miji yote Tz ukitoa Dar.
 
Ukidrive kutoka mjini hadi Moro ukitoa mabasi na malori private cars sio nyingi baada ya kufika kibaha kuendelea...ukifika Morogoro penyewe ndio utagundua gari ni chache sana nje ya Dar...Nashuku magari mengi ya Tz yako Dar...Bahati nzuri hua nasafiri sana mikoani kwahyo nnauhakika na nnalosema

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa kwa taarifa yako hakuna njia ina magari mengi kama dar to dom asikudanganye yoyote mm juzi tu nimetoka mwanza kuja dar nimeona adha ya foleni na magari yalivo mengi ww hujiulizi kwann inakuchukia masaa matano kutoka dar to moro na ni 194km na inakuchukua another 6 to 7 hours from moro to dom wakat ni 240km sisi tumetembea na tumejionea mzee🤣
 
Naona mwengine anazoom section different na zenye nimepost. Narudia, 621 sq. km of Dar ni ushagoo.

View attachment 2507671
Meanwhile, Nairobi built up area imeexpand outside Nairobi County. Ruiru municipality pekee ni kubwa kushinda miji yote Tz ukitoa Dar.
Hata morogoro region ni kubwa kuliko county yoyote kenya 🤣🤣🤣 so?
 
Sio hivyo kijana
Mfano kuna issue ya real estate kwamba Dar inazidi Nairobi umewahi kuona nimepinga?mimi sipingi takwimu hua sipatanani na mambo ya kuchovyachovya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa kwann unapinga facts nazokupa mm na haziitaji ramli kupiga hesabu 🤣🤣 au ww kila comparison unayoikuta google unaondoka nayo hata kama ni fake au inatumika kwenye vita vya kiuchumi
 
Ukidrive kutoka mjini hadi Moro ukitoa mabasi na malori private cars sio nyingi baada ya kufika kibaha kuendelea...
Hata sielewi logic yako hapa, sasa watu wanaishi Dar, iweje wapeleke magari yao Morogoro, bila sababu?
ukifika Morogoro penyewe ndio utagundua gari ni chache sana nje ya Dar...Nashuku magari mengi ya Tz yako Dar...Bahati nzuri hua nasafiri sana mikoani kwahyo nnauhakika na nnalosema

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kama kweli Tanzania ina magari machache kuliko Kenya tusingekuwa na plate number zenye herufi na namba sawa. Ukiangalia plate number za south Africa na kuhesabu idadi ya herufi pamoja na namba utaelewa ninachokiongelea.
 
Ukidrive kutoka mjini hadi Moro ukitoa mabasi na malori private cars sio nyingi baada ya kufika kibaha kuendelea...ukifika Morogoro penyewe ndio utagundua gari ni chache sana nje ya Dar...Nashuku magari mengi ya Tz yako Dar...Bahati nzuri hua nasafiri sana mikoani kwahyo nnauhakika na nnalosema

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nilichogundua ni kwamba wewe ni mpuuzi mmoja mwenye kasumba.. haya bishana na picha pia 👇
D58tkJkWkAA6qvf.jpg
DSCF2387(0).jpg
storytellerbrand.tz_1646758303768766.jpg
file-20190122-100282-6dsmb8.jpg
 
Sio hivyo kijana
Mfano kuna issue ya real estate kwamba Dar inazidi Nairobi umewahi kuona nimepinga?mimi sipingi takwimu hua sipatanani na mambo ya kuchovyachovya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hiyo ilikuwa data ya mwaka mmoja, 2017, ila sio ya all time. Huo mwaka Dar majengo mengi marefu yalimalizika kama TPA ndio maana mkawa mbele yetu. Ukiangalia miaka mingine utapata Nairobi iko juu na mbali. Kwa mfano last year Nairo ilikamilisha GTC, hivi bado unadhani Dar iliishinda?
 
Sasa kwa taarifa yako hakuna njia ina magari mengi kama dar to dom asikudanganye yoyote mm juzi tu nimetoka mwanza kuja dar nimeona adha ya foleni na magari yalivo mengi ww hujiulizi kwann inakuchukia masaa matano kutoka dar to moro na ni 194km na inakuchukua another 6 to 7 hours from moro to dom wakat ni 240km sisi tumetembea na tumejionea mzee
Kwahyo magari 65K-75K Ndio mengi sana?na ufinyu wa barabara nao unachangia kuanzia Kibaha kwenda hadi chalinze barabara ishakua nyembamba ndio inayoleta foleni

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom