Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi magari ni mengi sana
Kutokana na kutokua na usafiri mzuri wa public option iliobaki ni kila mtu kwenda na gari yake mjini..Matokeo ndio heavy traffic jams

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwa kamji kadogo kama NAIROBI foleni ni lazima na ni lazima uone kama kuna gari nyingi.. 500 km² city sawa na Kinondoni district alone .. imagine wakazi wote wa dar wangekua wanaishi kwenye kaeneo kadogo kama NAIROBI.. I'm telling you ungeweza kuona idadi kubwa ya gari 3× than that of Naipori
 
Kwa kamji kadogo kama NAIROBI foleni ni lazima na ni lazima uone kama kuna gari nyingi.. 500 km² city sawa na Kinondoni district alone .. imagine wakazi wote wa dar wangekua wanaishi kwenye kaeneo kadogo kama NAIROBI.. I'm telling you ungeweza kuona idadi kubwa ya gari 3× than that of Naipori
Magari Nairobi ni mengi kuliko dar, issue ya udogi wa eneo hapo haihusiki

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wewe kua na uhakika na maisha yako inatosha sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mjinga wewe kwani hukuwepo humu wakati takwimu za magari kati ya Nairobi na Dar zinawekwa? Wacha kuendekeza inferiority complex unajidhalilisha, kuna vitu kibao unavijua ukweli wake lkn unafanya kusudi kuwapa credit Wakenya, upumbavu huo badilika.
 
Achana naye huyo. Ameamua kuwa adui yetu.
Tuusan huwa ni mjinga mjinga sn, takwimu za magari ziliwekwa humu tangu mwaka juzi kama sikosei na ikaonekana jamaa tumewapita parefu, na hata yeye tuusan anajua hilo lkn kutokana na inferiority complex yake ya kipumbavu anaongea pumba kama hizo, tumueleweje mtu huyu? Huyu ni mtz kweli huyu? Au ni mkenya anayejifanya mtz.
 
Mjinga wewe kwani hukuwepo humu wakati takwimu za magari kati ya Nairobi na Dar zinawekwa? Wacha kuendekeza inferiority complex unajidhalilisha, kuna vitu kibao unavijua ukweli wake lkn unafanya kusudi kuwapa credit Wakenya, upumbavu huo badilika.
Hakuna takwimu yoyote ya kuonyesha tumewazidi magari, tatizo lako wewe ni mtu ambae uko kama jiwe,haupatani na ukweli


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Mjinga wewe kwani hukuwepo humu wakati takwimu za magari kati ya Nairobi na Dar zinawekwa? Wacha kuendekeza inferiority complex unajidhalilisha, kuna vitu kibao unavijua ukweli wake lkn unafanya kusudi kuwapa credit Wakenya, upumbavu huo badilika.

Neno shobo lingekuwa mtu basi angekuwa ni yeye, mtu unashobokea nchi inayozunguka mitandaoni kuichafua nchi yako!
 
Neno shobo lingekuwa mtu basi angekuwa ni yeye, mtu unashobokea nchi inayozunguka mitandaoni kuichafua nchi yako!
Mpumbavu huyu, utakuta Wakunya wanaanzisha battle ya Mombasa na Dar alafu huyu mpumbavu anachangia as if kuna ulinganifu kweli, hivi battle kama hiyo ni ya kuchangia kweli? Mombasa haiiwezi hata Zanzibar but huyu mjinga utakuta anashindana na Wakenya eti kuhusu Mombasa, anajifanya hajui lengo la wakundustan.
 
Mpumbavu huyu, utakuta Wakunya wanaanzisha battle ya Mombasa na Dar alafu huyu mpumbavu anachangia as kuna ulinganifu kweli, hivi battle kama hiyo ni ya kuchangia kweli? Mombasa haiiwezi hata Zanzibar but huyu mjinga utakuta anashindana na Wakenya eti kuhusu Mombasa, anajifanya hajui lengo la wakundustan.

Ni maharage ya mbeya maji mara moja.
 
Back
Top Bottom