Vipi nanyi mnaanzisha ya Dodoma na Nairobi na mnaona ni sawa?Mpumbavu huyu, utakuta Wakunya wanaanzisha battle ya Mombasa na Dar alafu huyu mpumbavu anachangia as if kuna ulinganifu kweli, hivi battle kama hiyo ni ya kuchangia kweli? Mombasa haiiwezi hata Zanzibar but huyu mjinga utakuta anashindana na Wakenya eti kuhusu Mombasa, anajifanya hajui lengo la wakundustan.
Huwa tunasema Dodoma ni mji wa kisasa zaidi kuliko Dar na Nairobi, hiyo miwili ni ya kizamani, over 80% ni unplanned but Dodoma imekuwa planned from the scratch huwezi kufananisha na hizo takataka mbili za mkoloni.Vipi nanyi mnaanzisha ya Dodoma na Nairobi na mnaona ni sawa?
Wewe shida yako ni kwamba haupatani na ukweli ni hilo tu,Alafu unaniita mpumbavu?mpumbavu ni mtu mwenye tabia kama za kwakoMpumbavu huyu, utakuta Wakunya wanaanzisha battle ya Mombasa na Dar alafu huyu mpumbavu anachangia as if kuna ulinganifu kweli, hivi battle kama hiyo ni ya kuchangia kweli? Mombasa haiiwezi hata Zanzibar but huyu mjinga utakuta anashindana na Wakenya eti kuhusu Mombasa, anajifanya hajui lengo la wakundustan.
Adui zako ni ujinga maradhi na umaskini sio mimiAchana naye huyo. Ameamua kuwa adui yetu.
Umetumia vigezo gani hebu tujuze nasisi tupate elimu 😆😆😆😆Magari Nairobi ni mengi kuliko dar, issue ya udogi wa eneo hapo haihusiki
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Is this official source and from who??😆😆Wewe shida yako ni kwamba haupatani na ukweli ni hilo tu,Alafu unaniita mpumbavu?mpumbavu ni mtu mwenye tabia kama za kwako
View attachment 2507567
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ipo takwimu zilionesha na ziliekwa humu au turudie tena kuweka ???😆😆😆Hakuna takwimu yoyote ya kuonyesha tumewazidi magari, tatizo lako wewe ni mtu ambae uko kama jiwe,haupatani na ukweli
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Takwimu ziko aina nyingi tumia hii ya countryeconomy.comUmetumia vigezo gani hebu tujuze nasisi tupate elimu![]()
2012 dar alone ilikua na magari million mojaTakwimu ziko aina nyingi tumia hii ya countryeconomy.com
Ukiangalia hapo kwenye kipengele cha magari kwa watu 1000 unaweza ona tofautiView attachment 2507605View attachment 2507606
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hii ndio source yako serious 🤣🤣🤣 mm nikajua unaingea kwa facts kumbe hakuna chochote haha tuusan mm nawaswas na wwTakwimu ziko aina nyingi tumia hii ya countryeconomy.com
Ukiangalia hapo kwenye kipengele cha magari kwa watu 1000 unaweza ona tofautiView attachment 2507605View attachment 2507606
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Dar is a big city people nowadays do not need to come to the city centre kila mahali siku hizi kuna town centres ambazo hupata mahitaji yako yote hence magari kuwa machache katikati ya mji.Magari Nairobi ni mengi kuliko dar, issue ya udogi wa eneo hapo haihusiki
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hilo jamaa ni pumpkin head. Linazingua kinonaHii ndio source yako serious 🤣🤣🤣 mm nikajua unaingea kwa facts kumbe hakuna chochote haha tuusan mm nawaswas na ww
Udogo wa eneo lazima uhusike kwann usihusike nairobi ni ndogo mara tatu kwa dar so hapo utasemaje udogo wa eneo haungaliwi? Inside 690km sq kuna mapori na national park ya nairobi je dar kuna mapori?? 🤣🤣🤣Magari Nairobi ni mengi kuliko dar, issue ya udogi wa eneo hapo haihusiki
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa thibitisha Dar kuna magari mengiUdogo wa eneo lazima uhusike kwann usihusike nairobi ni ndogo mara tatu kwa dar so hapo utasemaje udogo wa eneo haungaliwi? Inside 690km sq kuna mapori na national park ya nairobi je dar kuna mapori??![]()