Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kukataa ni hiari yao huwez lazmisha watu watumikie jambo hawalitaki 🤣🤣 simunadai muna haki za binaadamu ziko wapi sasa
Mmja keshaenda kuapishwa tayari,ngoja tusubirie hao wengine mwisho wao.

Hivyo vyeo wanavyolingia huko CWT wanaweza kuoteshwa mbawa vilevile.
 
Hizi list huwa ni matangazo ya kibiashara zaidi, unataka kuniambia Ujerumani au Urusi hawana "best" universities? Unafikiri ni kwa nini Leonhard Euler alikwenda Imperial Russian Academy of Sciences?
Alafu nmeona katika kipengele cha soko la wahitimu katika chuo husika,hao hua na uhakika wa 100% kuajiriwa tena kwenye mashirika makubwa na serikali zao

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama kcb inafanya biashara na pesa ya Gov what do you expect?
Hata hivyo KCB is not able to fund even a 10km Road hapo Kundustan ,
William Loot-all and riggy G are busy running around the globe , country after country begging for financiers of whatever project you have, plus begging for food donations.
Imefika hatua hadi mnaomba msaada wa chakula Ukraine,
What is the Role of KCB ?
You want KCB to do what? You mean like KCB should be building roads? Which school did you go to bruv😂
You don't know the roles of a bank?
 
Sasa kama kcb inafanya biashara na pesa ya Gov what do you expect?
Hata hivyo KCB is not able to fund even a 10km Road hapo Kundustan ,
William Loot-all and riggy G are busy running around the globe , country after country begging for financiers of whatever project you have, plus begging for food donations.
Imefika hatua hadi mnaomba msaada wa chakula Ukraine,
What is the Role of KCB ?
Okay achana na KCB, how about Equity?
 
Profit ya all commercial banks sio 30bn ksh mzee ni 60billion ksh , rudia kufanya hesabu zako. Na hiyo ni Net Profit
Be keen my friend...i showed you that KCB's net profit for 9 months is ksh 30.4 Billion. When did tzsh 1 trillion become kshs 60 bn, show me how you came to that figure
 
You want KCB to do what? You mean like KCB should be building roads? Which school did you go to bruv😂
You don't know the roles of a bank?
Angalia NBC bank huku tanzania na ni bank sijui ya 4 but ndio inadhamini ligi kuu ya tanzania mwaka wa pili sasa
 
Wamesema equity ni ya wazungu 😂 wali google KCB wakaachana nayo
Alikudanganya nani ka google alaf akaachana nayo 🤣🤣🤣
Screenshots_2023-02-02-08-19-49.png
 
Be keen my friend...i showed you that KCB's net profit for 9 months is ksh 30.4 Billion. When did tzsh 1 trillion become kshs 60 bn, show me how you came to that figure
Mimi nataka unipe Net profit ya Bank Ya KCB au zote za kenya nzima
Screenshot_20230202-083641_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom