ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ni mbingu na ardhi 😆😆😆Sina mda na hii ligi ya ujinga. Amini utakavyo ila chukua time pia unapoangalia video za Shenzen, angalia na za Tokyo pia. Adios muchachos.
Tokyo
Shenzen
ni mbingu na ardhi 😆😆😆Sina mda na hii ligi ya ujinga. Amini utakavyo ila chukua time pia unapoangalia video za Shenzen, angalia na za Tokyo pia. Adios muchachos.
watu wamedhulumiwa na mtandao wa Sukumagang! si kila kitu unapinga!
Nilianza na Tokyo ila pia Europe, kitu Shenzen imeshindia miji ya Europe ni size pekee but ukichukua urban conurbations (Something you bongolalas need a lesson on), kunazo ambazo zinaikaribia kama Rhine Ruhr, Paris, London na Istanbul. Ikija kwa ubora wa jiji kando na ukubwa, Shenzen hana lake Europe, trust me. Ninyi watoto wadogo majumba ya glass yanawachanganya sana.Sasa umeachana na Europian Cities umehamia Toktyo tena? Hakuna mji wowote ulaya unaweza kushindana na Shenzhen. Take it from me.
ni mbingu na ardhi 😆😆😆
Tokyo
Shenzen
Ndio maana nikakwambia huijui Shenzhen. Mimi nimetembea miji mingi tu mikubwa ya Europe na nimetembea miji kadha wa kadha ya china.Nilianza na Tokyo ila pia Europe, kitu Shenzen imeshindia miji ya Europe ni size pekee but ukichukua urban conurbations (Something you bongolalas need a lesson on), kunazo ambazo zinaikaribia kama Rhine Ruhr, Paris, London na Istanbul. Ikija kwa ubora wa jiji kando na ukubwa, Shenzen hana lake Europe, trust me. Ninyi watoto wadogo majumba ya glass yanawachanganya sana.
Wao! Kule mlimani city...huku Ubungo plaza...pale PSPF headquarters tower...kule UDSm...hapo kijazi interchange....na sasa Shopping centre mpya bila kusahau BRT depot..
Tatizo lako ukiletewa picha utaanza kusema oohh jiji sio majengo marefu sijui nn sijui nn kibaaaooo, utajaza vijineno kibao vya wazungu wanaokataa kuonekana wamepitwa na mchina ila ukweli upo machoni kila mtu anaona.Dude, Tokyo is faaaaar ahead of Shenzen. There are only 2 cities in this world that can compare to Tokyo - London and New York. Some of you no nothing about what makes a city great.
Hawajui kwamba Shenzhen imejengwa kisasa ni miji ya kisasa.Kwa standards za Shenzhen hii Tokyo inakaa informal settlements, disorganized.
Tuwekee humu picha moja ukiwa Europe tuone.Ndio maana nikakwambia huijui Shenzhen. Mimi nimetembea miji mingi tu mikubwa ya Europe na nimetembea miji kadha wa kadha ya china.
China ipo dunia nyingine kabisa. Ndio maana nikakwambia chagua city yoyote ya Europe tuipambanishe na Shenzhen. And put in your mind Shenzhen ni mji wa mbali sana huko China.
Nimekuanzishia kwenye 100% Electric public transport in Shenzhen.
Sasa private issue zangu unataka nikuwekee ili iweje?Tuwekee humu picha moja ukiwa Europe tuone.
Nchi pekee ya kubishana na China kwa ss ni US na hiyo US yenyewe ni baadhi ya miji, tusiishi kwa kukariri, mambo yamebadilika wazee, japo mm binafsi ukiniambia nichague pa kwenda kati ya China au US au UK nitachagua hzo mbili za mwisho.Maisha yao wamezoea kukaririeti london yani nimecheka sana hio newyork ikae mkao wakula wa shenzen nimeiangalia yani ni motoo
At least umekubali ukweli. 🤣 🤣 🤣Sasa private issue zangu unataka nikuwekee ili iweje?
Ukweli ni kwamba miaka ya 70s to 90s Miji ya Ulaya ilikuwa mizuri. Lakini kwa sasa miji hiyo imebaki kuwa ni miji ya kihistoria ni miji ya makumbusho.At least umekubali ukweli. 🤣 🤣 🤣
Haya basi, tuendelee na mjadala sasa bila kuongeza uongo uongo.
Yani we acha ni motoo 😆😆Kwa standards za Shenzhen hii Tokyo inakaa informal settlements, disorganized.
Shenzhen AirportAt least umekubali ukweli. 🤣 🤣 🤣
Haya basi, tuendelee na mjadala sasa bila kuongeza uongo uongo.
Nn hiki mzeeNdio maana nawaambia hamjielewi. The best cities in the world look like this.
![]()
![]()
Ndio nakwambia, hapo shenzen ukiangalia nyumba ya kawaida ya mwananchi na ulinganishe na Munich Germany kwa mfano ndio utaelewa kwa nini nakwambia miji ya China bado sana kwa Europe.Ukweli ni kwamba miaka ya 70s to 90s Miji ya Ulaya ilikuwa mizuri. Lakini kwa sasa miji hiyo imebaki kuwa ni miji ya kihistoria ni miji ya makumbusho.