Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Germans wanauza machine za kutengeneza Machines
Hebu angalia hiyo BMW Factory ya Germany,
Halafu wanakuja wajinga wanasema kuna nchi za Asia zina technology kushinda Germany, Leave alone US.
Nchi za Asia ambayo zimeendelea zaidi ni Japan na South Korea

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Germans wanauza machine za kutengeneza Machines
Hebu angalia hiyo BMW Factory ya Germany,
Halafu wanakuja wajinga wanasema kuna nchi za Asia zina technology kushinda Germany, Leave alone US.
Mtu akianza kuwaita wengine wajinga huwa naanza kumtilia wasi wasi. Je anataka tujadiliane au anataka tumwogope kwamba atatuita wajinga?
 
Germans wanauza machine za kutengeneza Machines
Hebu angalia hiyo BMW Factory ya Germany,
Halafu wanakuja wajinga wanasema kuna nchi za Asia zina technology kushinda Germany, Leave alone US.
Hakuna mtu anakataa kama europe ina technology au usa lakini china ndio imekua mpinzani mkuu kwa dunia ya sasa hvi kwenye technology hata leo ukiangalia ukiangalia dunia ya sasa hao wazungu wenyewe wanawahofia sana wachina kwenye technolgy ya leo naya kesho pia angalia makampuni mengi sana europe na america kwa sasa yamehamisha biashara china na yote sio tu sababu ya cheap labour bali na technology pia
 
Hakuna mtu anakataa kama europe ina technology au usa lakini china ndio imekua mpinzani mkuu kwa dunia ya sasa hvi kwenye technology hata leo ukiangalia ukiangalia dunia ya sasa hao wazungu wenyewe wanawahofia sana wachina kwenye technolgy ya leo naya kesho pia angalia makampuni mengi sana europe na america kwa sasa yamehamisha biashara china na yote sio tu sababu ya cheap labour bali na technology pia
Halafu nashangaa kwanini hao Wajeruman hawana Space Station lakini wachina wamejenga?
 
Mtu akianza kuwaita wengine wajinga huwa naanza kumtilia wasi wasi. Je anataka tujadiliane au anataka tumwogope kwamba atatuita wajinga?

Ujinga sio tusi, ni Kukosa elimu, au kutokujua mambo,
Cheki hii BMW factory ya Germany,

 
Shenzen china
20230131_220138.jpg
20230131_220141.jpg
20230131_220143.jpg
20230131_221336.jpg
 
Nchi za Asia ambayo zimeendelea zaidi ni Japan na South Korea

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wew jamaa unapelekeshwa na propaganda za wamagharibi...

China imeendelea mzee tena sana...lakin kwa sababu ya siasa zao na kuonekana na misimamo yao...Western inawaunderate...


Ni kama kenya tu...hakuna chochote kule ni umaskini mtupu zaidi ya 50% lakin kwa sababu wameamua kuwa vibaraka wa wazungu..Western ina warate vzr kimataifa...



Too deep...watu wa US wanawaogopa sana wachina...kwa sababu kwanza wamewekeza sana huko US hasa kwenye biashara nyingi za kati kuliko hata wazawa....
 
Back
Top Bottom