Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miradi gani bongolala? Ya treni ya waturuki ama?

Ongoing
-SGR $11b
  • Nyeeere HEP $3.3b
  • DOM New City 1$b
-Dom international Airport $400m
  • BRT - $500m
  • Roads over $1b
  • Dar port expansion- $500m
Upcoming
  • LNG - $30b
  • Bagamoyo Port $12b
  • Fertilizer Plant - $1b
-Kibaha -Chalimze-Morogoro - Dodoma Highway- dual carriage - 450km
- Igawa - Tunduma Highway- Dual 220km
-Moshi - Arusha Highway- Dual 70km
 
Hili eneo litakua poa sana.. kwanini serikali wasilipee kipaumbele na kuvunja hizi takataka zilizozunguka (Uswazis) ili tupate center of business nzuri.. tena ukizingatia miondombinu yote ipo karibu+BRT depot pembeni hapo..
IMG_4414 (1).jpg
 
GDP ni namba tu kaka, tukianza kuchimbua hapa hizo miji kwa mfano Chicago inazalisha nini hata iwe na hiyo figure tutaishia kujua ni uongo tu..

By the way modernity+majengo+better infrastructure.. indicate development

I also would like to let you know that Shenzhen is bigger 4× to Chicago, 2 times to London, na hizo miji miji za Zamani umetaka hapo..

View attachment 2501566chicago View attachment 2501580london View attachment 2501582.. nikisema pia tuanze kuchimbua kuhusu systems kwenye hii miji still Shenzhen itakua ahead of these takatakas for at least 20 years.. Shenzhen is a cyberpunk city, it has no comparison outside side china.. pitia hii vid uijue Shenzhen .
Ukianza excuse za GDP ni namba ndio hua naona unapenda league za ajabu ajabu tu.
Basi kama gdp ni namba kwann zisiwe kubwa Shenzhen?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
GDP ni namba tu kaka, tukianza kuchimbua hapa hizo miji kwa mfano Chicago inazalisha nini hata iwe na hiyo figure tutaishia kujua ni uongo tu..

By the way modernity+majengo+better infrastructure.. indicate development

I also would like to let you know that Shenzhen is bigger 4× to Chicago, 2 times to London, na hizo miji miji za Zamani umetaka hapo..

View attachment 2501566chicago View attachment 2501580london View attachment 2501582.. nikisema pia tuanze kuchimbua kuhusu systems kwenye hii miji still Shenzhen itakua ahead of these takatakas for at least 20 years.. Shenzhen is a cyberpunk city, it has no comparison outside side china.. pitia hii vid uijue Shenzhen .


Unajua unatakiwa uwe na facts ndio unakuwa unamake sense, vinginevyo nakuwa kama tu kama nabishana na dereva wa bodaboda,
Huo mji mzuri wa majengo wa uchina Utazidi nini Chicago zaidi ya eneo ? Yaani hata mnaposema China itazidi US kwa technology mnakuwa kama watu wasiojua mambo,
China is doing good, na imejitahidi sana, but levels kaka, Levels !
Sasa just imegine hiyo Chicago wewe sababu huijui huelewi kuwa Illinois ndio makao Makuu yamakampuni makubwa Duniani Kama Abbott , Boeing, MacDonalds , John Decree, Motorola nk ,
Huo mji wa uchina una nini ?
China hawana hata leseni ya kuzalisha ndege za abiria.. ndio kwanza wanaanza sasa hivi kupambana, ila Chicago ndio HQs za Boeing ..

Tazama haya makampuni yamebase Illinois , yaani Chicago Ndio HQs,
Next time watu wakisema Chicago ina GDP mara tatu ya Shenzhen hii ndio maana yake.. Elimu.
IMG_1110.jpg

IMG_1109.jpg

IMG_1108.jpg
 
Hili eneo litakua poa sana.. kwanini serikali wasilipee kipaumbele na kuvunja hizi takataka zilizozunguka (Uswazis) ili tupate center of business nzuri.. tena ukizingatia miondombinu yote ipo karibu+BRT depot pembeni hapo.. View attachment 2501595
Weka noti hapo Mkuu wakupishe ushushe vitu, its a free world.😅
 
Unajua unatakiwa uwe na facts ndio unakuwa unamake sense, vinginevyo nakuwa kama tu kama nabishana na dereva wa bodaboda,
Huo mji mzuri wa majengo wa uchina Utazidi nini Chicago zaidi ya eneo ? Yaani hata mnaposema China itazidi US kwa technology mnakuwa kama watu wasiojua mambo,
China is doing good, na imejitahidi sana, but levels kaka, Levels !
Sasa just imegine hiyo Chicago wewe sababu huijui huelewi kuwa Illinois ndio makao Makuu yamakampuni makubwa Duniani Kama Abbott , Boeing, MacDonalds , John Decree, Motorola nk ,
Huo mji wa uchina una nini ?
China hawana hata leseni ya kuzalisha ndege za abiria.. ndio kwanza wanaanza sasa hivi kupambana, ila Chicago ndio HQs za Boeing ..

Tazama haya makampuni yamebase Illinois , yaani Chicago Ndio HQs,
Next time watu wakisema Chicago ina GDP mara tatu ya Shenzhen hii ndio maana yake.. Elimu. View attachment 2501647
View attachment 2501648
View attachment 2501649
Wanafikiri USA ni rika moja na CHINA hawa wananishangaza mno

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wanafikiri USA ni rika moja na CHINA hawa wananishangaza mno

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app

Kuna mwanangu nlimaliza nae chuo miaka kadhaa ya nyuma, mimi nikaanza career yeye akaenda China kufanya masters , akarudi baada ya miaka miwili, nikampokea tukakaa magetoni hadi alipopata ramani, yaani jamaa ni kama China ilimvuruga akili, humwambii kitu juu ya China, ni kama hawa wa humu
Nawaelewa hawa jamaa. Hawafanyi tafiti vizuri
 
Back
Top Bottom