Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mwanangu nlimaliza nae chuo miaka kadhaa ya nyuma, mimi nikaanza career yeye akaenda China kufanya masters , akarudi baada ya miaka miwili, nikampokea tukakaa magetoni hadi alipopata ramani, yaani jamaa ni kama China ilimvuruga akili, humwambii kitu juu ya China, ni kama hawa wa humu
Nawaelewa hawa jamaa. Hawafanyi tafiti vizuri
Angeenda USA angerudi walau na 5series moja ama ama evoque sio China unarudi na Bag la jeans na mashati

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ethiopia and Tanzania will Replace Kunyaland,
Then Uganda will replace everyone in the region in just 10 years after they start exporting their Oil.
Ethiopia hatuwapati leo wala kesho,wameshawasha Turbo alafu engine ni V12...
Hawa wakenya ndio tunaweza kuwala mchana kweupe japo tutachelewa kidogo...

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Shanghai - China
why-should-I-study-in-Shanghai.jpg_65581780.jpg


shanghai_shanghai_tower_giselle_martinez.jpg
Hili ndio moja ya majiji yenye Uchumi mkubwa Duniani kutoka Uchina

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ethiopia hatuwapati leo wala kesho,wameshawasha Turbo alafu engine ni V12...
Hawa wakenya ndio tunaweza kuwala mchana kweupe japo tutachelewa kidogo...

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app

Wale jamaa nawakubali sana, ni wafanisi sana kazini na hawana makelele, hata sasa nafanya nao kazi .. very efficient, halafu wako real. Hawafake maisha ya uzungu kama hawa waingereza weusi, Wakundustani, wazee wa flying toilets na kwenda mavi kwa vichaka.
Yaani waethiopia hujiona ni waafrica kuliko wakunya.
 
Wale jamaa nawakubali sana, ni wafanisi sana kazini na hawana makelele, hata sasa nafanya nao kazi .. very efficient, halafu wako real. Hawafake maisha ya uzungu kama hawa waingereza weusi, Wakundustani, wazee wa flying toilets na kwenda mavi kwa vichaka.
Yaani waethiopia hujiona ni waafrica kuliko wakunya.
Wakenya ni waingereza bubu,low budget Europeans

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wachina 1.4B wanakaribiwa na waingereza 80M kwa publications?wape kongole waingereza kwenye hiyo list na USA

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app

Watu wameanza shule kitambo mkuu, imagine US wameenda mwezini wakati sisi tunapata uhuru,
Ndio hii kitu pia huwa nawakumbusha hawa vijana,
Kwa tuliosoma Physiacs tunaelewa Einstein theory , E=mc2.
Imagine US walipita na hii kitu miaka ya 1945 huko Japan wakashusha mzigo Nagasaki na Hiroshima ambayo ilikuwa ndiyo miji ya viwanda tegemeo kwa Japan wakati huo, ule mzigo hakuna mtu ana hamu nao hadi leo 2023, hii ilikuwa ni surprise kwa dunia nzima, that was almost 80 years ago.
Sasa ukisema leo China au North Korea ina Jeshi imara na technology kuliko US sababu they have developed some nuclear reactors recently uanamaanisha US stoped researching,
I hate war anyway. US apewe heshima yake.
 
Unajua unatakiwa uwe na facts ndio unakuwa unamake sense, vinginevyo nakuwa kama tu kama nabishana na dereva wa bodaboda,
Huo mji mzuri wa majengo wa uchina Utazidi nini Chicago zaidi ya eneo ? Yaani hata mnaposema China itazidi US kwa technology mnakuwa kama watu wasiojua mambo,
China is doing good, na imejitahidi sana, but levels kaka, Levels !
Sasa just imegine hiyo Chicago wewe sababu huijui huelewi kuwa Illinois ndio makao Makuu yamakampuni makubwa Duniani Kama Abbott , Boeing, MacDonalds , John Decree, Motorola nk ,
Huo mji wa uchina una nini ?
China hawana hata leseni ya kuzalisha ndege za abiria.. ndio kwanza wanaanza sasa hivi kupambana, ila Chicago ndio HQs za Boeing ..

Tazama haya makampuni yamebase Illinois , yaani Chicago Ndio HQs,
Next time watu wakisema Chicago ina GDP mara tatu ya Shenzhen hii ndio maana yake.. Elimu. View attachment 2501647
View attachment 2501648
View attachment 2501649
Unajua tu kuhusu Illinois hujui chochote kuhusu Shenzhen .. tulia uelekezwe sasa.. there are 1,777 companies based in Shenzhen .. these ar 5 biggest companies to watch ..

1. Tencent .. Asia's most valuable company with market capitalization of $750 billion, it's revenue was $73.5 billion in 2020

2. DJI, the world's leading drone manufacturing company, DJI now has 76% consumer drone in US and 70% of the global market

3. BYD electric car manufacturing company, the second in the global market behind tesla,

4. Royole

5. Malong technologies

pita hapa 👇"Five Shenzhen-based companies to watch - I by IMD" Five Shenzhen-based companies to watch - I by IMD.

Shenzhen pia Iko na 4th largest container port on earth
Screenshot_20230131-200518_1.jpg
. Nimeona umeandika kwamba eti china hawana leseni za kuzalisha ndege za abiria 🤣🤣🤣.. kumbe huna ujualo.. hii nayo nini.? 👇
_106555249_comacc919.jpg
.. pita hapa 👇China completes delivery of first homegrown passenger jet – DW – 12/09/2022.
 
Kwani ile waliyoisaini wa kina Makamba chap chap mwaka jana ilikuwa ni ipi?
Ile ndio ilinitia shaka sana Magu alikuwa anawagomea kutudanganya watainvest 30 usd billions ukiwa unaonekana ni mtaji mkubwa sana na utaleta implication kwenye mikataba, alivyo fariki tu investment capital imeenda hadi 40 usd billions. Just thinking
 
Unajua tu kuhusu Illinois hujui chochote kuhusu Shenzhen .. tulia uelekezwe sasa.. there are 1,777 companies based in Shenzhen .. these ar 5 biggest companies to watch ..

1. Tencent .. Asia's most valuable company with market capitalization of $750 billion, it's revenue was $73.5 billion in 2020

2. DJI, the world's leading drone manufacturing company, DJI now has 76% consumer drone in US and 70% of the global market

3. BYD electric car manufacturing company, the second in the global market behind tesla,

4. Royole

5. Malong technologies

pita hapa 👇"Five Shenzhen-based companies to watch - I by IMD" Five Shenzhen-based companies to watch - I by IMD.

Shenzhen pia Iko na 4th largest container port on earth View attachment 2501693. Nimeona umeandika kwamba eti china hawana leseni za kuzalisha ndege za abiria 🤣🤣🤣.. kumbe huna ujualo.. hii nayo nini.? 👇View attachment 2501696.. pita hapa 👇China completes delivery of first homegrown passenger jet – DW – 12/09/2022.
Shenzhen inaitwa silcon valley of china
 
Back
Top Bottom