Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Well, let me give you simple facts ,
China GDP -$17t- Population 1.3b
US GDP $25t Population 330m
Japan GDP 5t- Population-120m

Hapo unadhani nani ni masikini?

Kama hujui China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa vijijini, ukiona wanajenga hizi majengo marefu ni kwa ajili ya kuhudumia population kubwa waliyonayo..

Sasa unataka UAE yenye watu milioni 10 au qatar yenye watu milioni 3 wajenge majiji mengine ili akakae nani ?
Priorities,
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
Wacha kuchekesha 🤣🤣.. hakuna taifa linalozidi china kwenye hii dunia kaka.. najua hujui kuhusu haya mataifa nakusanua sasa.. China imetoa mikopo kibao katika miradi ya maendeleo in Brazil .. 👇. . China pia ndio wajenzi huko Brazil 👇. China ni baba wa dunia kwasasa
 

Sasa unaanza kunifanya nikuone wa kawaida sana,, Naomba sasa tuongee kwa kuambatanisha facts kama ambavyo nimekujibu hapo juu, Picha pekee bila facts hazithibitishi.

Huwezi fananisha huo mji wa shenzhen wenye GDP ya $400b against mji mkubwa kama Tokyo yenye GDP ya $1.5t sababu tu ya majengo mapya yaliyopangwa,

kwa uhalisia huo mji umeweka apart from buildings hakuna kitu humo, ni mji mdogo sana ukilinganisha na levels za London au Paris au Rome, huo mji wa China unaingia mara mbili kwa Chicago.
 
South Korea wako levels kk huwezi wafananaisha na wachina

Wachina pia wameendelea sana huwezi wafananisha na wahindi.
Mhindi hali yao duni tu kama waafrica

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app

Heheh Tuusan unawachukulia Poa sana wahindi, hadi unafananisha na sisi watu wa ulimwengu wa tatu
 
You may hear it for another decade, that doesn’t mean you are not going to be overtaken, that’s how things work, fuatilia historia ya namna hizi nchi za Tz na Kundustan zimekuwa zikiovertekiana kwenye chumi zao tangu miaka ya 1960’s
But this time is different , mna hali mbaya, mmefika mwisho, mmeumaliza mwendo, and this is because Kenya has no potentials, Tz has unlimited potentials.
Hebu nitajie hizo unlimited potentials zenye mmekuwa tu nazo saa hii that you didn't have before. Ama zimeshuka toka mbinguni?
 
Wacha kuchekesha .. hakuna taifa linalozidi china kwenye hii dunia kaka.. najua hujui kuhusu haya mataifa nakusanua sasa.. China imetoa mikopo kibao katika miradi ya maendeleo in Brazil .. . . China pia ndio wajenzi huko Brazil . China ni baba wa dunia kwasasa


Facts ziko wapi ?
 
Well, let me give you simple facts ,
China GDP -$17t- Population 1.3b
US GDP $25t Population 330m
Japan GDP 5t- Population-120m

Hapo unadhani nani ni masikini?

Kama hujui China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa vijijini, ukiona wanajenga hizi majengo marefu ni kwa ajili ya kuhudumia population kubwa waliyonayo..

Sasa unataka UAE yenye watu milioni 10 au qatar yenye watu milioni 3 wajenge majiji mengine ili akakae nani ?
Priorities,
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
Huku upande mwingine wajapani hawana sehemu ya kukaa. Mambo ni magumu sana.
 
IMG_20230131_182114.jpg
IMG_20230131_181902.jpg
 
Sasa unaanza kunifanya nikuone wa kawaida sana,, Naomba sasa tuongee kwa kuambatanisha facts kama ambavyo nimekujibu hapo juu, Picha pekee bila facts hazithibitishi.

Huwezi fananisha huo mji wa shenzhen wenye GDP ya $400b against mji mkubwa kama Tokyo yenye GDP ya $1.5t sababu tu ya majengo mapya yaliyopangwa,

kwa uhalisia huo mji umeweka apart from buildings hakuna kitu humo, ni mji mdogo sana ukilinganisha na levels za London au Paris au Rome, huo mji wa China unaingia mara mbili kwa Chicago.
GDP ni namba tu kaka, tukianza kuchimbua hapa hizo miji kwa mfano Chicago inazalisha nini hata iwe na hiyo figure tutaishia kujua ni uongo tu..

By the way modernity+majengo+better infrastructure.. indicate development

I also would like to let you know that Shenzhen is bigger 4× to Chicago, 2 times to London, na hizo miji miji za Zamani umetaka hapo..

👇
Screenshot_20230131-181124_1.jpg
chicago 👇
Screenshot_20230131-181144_1.jpg
london 👇
Screenshot_20230131-181158_1.jpg
.. nikisema pia tuanze kuchimbua kuhusu systems kwenye hii miji still Shenzhen itakua ahead of these takatakas for at least 20 years.. Shenzhen is a cyberpunk city, it has no comparison outside side china.. pitia hii vid uijue Shenzhen 👇.
 
Hebu nitajie hizo unlimited potentials zenye mmekuwa tu nazo saa hii that you didn't have before. Ama zimeshuka toka mbinguni?

1. Agriculture is booming in Tz as we speak- Kwa mfano, currently We feed you .. all the boarders from hapo Namanga, kule Lungalunga hadi Silali zimejaa trucks with Tz plate Numbers fully loaded with food supplies for you to be able eat and poo, thousands of lories.

2. Tz Export to Kundustan has surpassed yours since last year, this scares you doesn’t it?
What do we export to Kunya ? , construction materials like iron sheets, tiles, boards, timber etc , industrial goods, coal, Liquified petroleum gas, electricity etc

3. Tourism is flourishing in Tz, numbers are shooting , as we are getting as twice more $$$ kuliko mnavyopata , we are targeting for 10m tourists by 2030, meaning we will be getting 5 times what we get..

3. Mining — Now we are going to Invest $30b in LNG — $30b is equivalent to 30% of your GDP , nah ?
  • Remember we are going to start Iron mining and processing, we have massive Iron deposits huko Ludewa, we have started Mining Nikel (unajua tunaelekea kwenye electric automobiles)
  • Massive Gold deposits — We have rarely eaten 10% of what we have beneath the rocks

4. Your economy is going to recession and you know it, inflation is killing Kundustans, hunger among many,

5. Major infrastructure projects being undertaken by the Government of Tanzania
  • SGR- the Longest in the Continent- itahudumia your Lovely Uganda market, Rwanda, Burundi, DRC hadi South Sudan,
  • Construction of Bagamoyo Port $12b investment— meaning that tutakuwa ni Transport HUB kwa mwambao wote wa mashariki ya bahari ya Hindi.
  • Nyerere HEP Dam , adding 2100MW by June 2024, we will be having highest capacity in the region, we will sell some to you
  • EA Crude oil pipeline- From Ug to Tanga - Tz will be earning $1b annually— easy money
  • Massive constructions harpening in Dodoma City.. modern airports, ring roads, hundreds of multistorey buildings, light rails etc .. tutakuwa na mji wa kisasa zaidi EA

6. The list is endless

With all that a reason I told you that it may take another decade. But chill oga. Ruto is a Savior.
 
Back
Top Bottom