Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lushoto, Tanga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

images (37).jpeg
images (28).jpeg
images (40).jpeg
images (43).jpeg
images (38).jpeg
images (24).jpeg
images (25).jpeg
images (31).jpeg
images (42).jpeg
215309407.jpg
images (48).jpeg
images (50).jpeg
images (47).jpeg
images (44).jpeg
images (51).jpeg
images (52).jpeg
401805118.jpg
images (53).jpeg
images (54).jpeg
251630974_335_251shar-50brig-20.jpg
Screenshot_20230131-065235.png
Screenshot_20230131-065211.png
Screenshot_20230131-065156.png
Screenshot_20230131-065140.png
Screenshot_20230131-065122.png
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Ukweli sipendi huu mlinganisho siku nyingi sana!
Hakuna haja ya battle tena jamani. Nairobi wako juu sana kwa infrastructure. Usitegemee cosmopolitan city ambayo mabeberu wamewekeza na kuweka makazi ufanane na mji wa wabongo na wapemba wachache.
Halafu mbona mnashindanisha miji katika nchi zisizolingana ukubwa kwa lolote.
Angalia
Kenya- area= 582646km2
Uganda- 241038 km2
Burundi 27,834km2
Rwanda-26838km2
Tanzania- 945646km2

Kuweka maendeleo katika nchi ambayo inazidi ukuwa wa africa mashariki yote ni kazi kuliko vinchi kama Rwanda na Burundi.
Jakaya Kikwete alipotofautiana na Kagame kuhusu maendeleo alimwambia Kagame ukichukua lami ya tanzania itabidi nyumba na sebule zote za rwanda na vijiji vyote viwe lami na haitatosha!
It is not fair!
 
Ukweli sipendi huu mlinganisho siku nyingi sana!
Hakuna haja ya battle tena jamani. Nairobi wako juu sana kwa infrastructure. Usitegemee cosmopolitan city ambayo mabeberu wamewekeza na kuweka makazi ufanane na mji wa wabongo na wapemba wachache.
Halafu mbona mnashindanisha miji katika nchi zisizolingana ukubwa kwa lolote.
Angalia
Kenya- area= 582646km2
Uganda- 241038 km2
Burundi 27,834km2
Rwanda-26838km2
Tanzania- 945646km2

Kuweka maendeleo katika nchi ambayo inazidi ukuwa wa africa mashariki yote ni kazi kuliko vinchi kama Rwanda na Burundi.
Jakaya Kikwete alipotofautiana na Kagame kuhusu maendeleo alimwambia Kagame ukichukua lami ya tanzania itabidi nyumba na sebule zote za rwanda na vijiji vyote viwe lami na haitatosha!
It is not fair!
Ukubwa wa nchi sio kisingizio cha kutoweka lami mahali panapofaa. Tanzania is bigger than any European country except Russia.
Kenya has more paved kilometers of tarmac ukicompare na Tanzania yet Tanzania is close to twice the size of Kenya
 
Ukweli sipendi huu mlinganisho siku nyingi sana!
Hakuna haja ya battle tena jamani. Nairobi wako juu sana kwa infrastructure. Usitegemee cosmopolitan city ambayo mabeberu wamewekeza na kuweka makazi ufanane na mji wa wabongo na wapemba wachache.
Halafu mbona mnashindanisha miji katika nchi zisizolingana ukubwa kwa lolote.
Angalia
Kenya- area= 582646km2
Uganda- 241038 km2
Burundi 27,834km2
Rwanda-26838km2
Tanzania- 945646km2

Kuweka maendeleo katika nchi ambayo inazidi ukuwa wa africa mashariki yote ni kazi kuliko vinchi kama Rwanda na Burundi.
Jakaya Kikwete alipotofautiana na Kagame kuhusu maendeleo alimwambia Kagame ukichukua lami ya tanzania itabidi nyumba na sebule zote za rwanda na vijiji vyote viwe lami na haitatosha!
It is not fair!
Huna sababu ya msingi uliotoa
Sasa kama huwezi linganisha Tanzania na Kenya kwa kigezo cha landsize kuna haja gani ya kulinganisha Tz na nchi zingine?
Kama wametupita kwa miundombinu ya msingi kwani sisi hatuwezi kuboresha? Hatukua na flyovers hatukua na SGR port ya dar ilikua ndogo sana lakini sasahvi kuna mabadiliko chanya mengi...
Hatuwezi kujifungia tukijiona bora bila ya kuangalia majirani wana hali gani...
Yale yanayofaa kuiga tutayaiga

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli sipendi huu mlinganisho siku nyingi sana!
Hakuna haja ya battle tena jamani. Nairobi wako juu sana kwa infrastructure. Usitegemee cosmopolitan city ambayo mabeberu wamewekeza na kuweka makazi ufanane na mji wa wabongo na wapemba wachache.
Halafu mbona mnashindanisha miji katika nchi zisizolingana ukubwa kwa lolote.
Angalia
Kenya- area= 582646km2
Uganda- 241038 km2
Burundi 27,834km2
Rwanda-26838km2
Tanzania- 945646km2

Kuweka maendeleo katika nchi ambayo inazidi ukuwa wa africa mashariki yote ni kazi kuliko vinchi kama Rwanda na Burundi.
Jakaya Kikwete alipotofautiana na Kagame kuhusu maendeleo alimwambia Kagame ukichukua lami ya tanzania itabidi nyumba na sebule zote za rwanda na vijiji vyote viwe lami na haitatosha!
It is not fair!
Kwn nani kakuita humu, alafu Watz wapumbavu kama wewe mmebaki wachache sana, unatoa maoni wkt hufuatilii thread, akili gn hizo. Hayo mawazo uliyonayo ni ya Watz wakitambo sn sio Watz toleo jipya kama sisi, nyie Watz toleo la kale mlikuwa mnaichukulia poa sana hii nchi ila cc toleo jipya tunawaonesha kwamba hii nchi usiichukulie poa, hata wakenya wametii na bado wanaendelea kutii ila nyie Watz toleo la kale mnajifanya kichwa ngumu in short nyie Watz toleo la kale ndio mnaoitwa bongolala.
 
Kwn nani kakuita humu, alafu Watz wapumbavu kama wewe mmebaki wachache sana, unatoa maoni wkt hufuatilii thread, akili gn hizo. Hayo mawazo uliyonayo ni ya Watz wakitambo sn sio Watz toleo jipya kama sisi, nyie Watz toleo la kale mlikuwa mnaichukulia poa sana hii nchi ila cc toleo jipya tunawaonesha kwamba hii nchi usiichukulie poa, hata wakenya wametii na bado wanaendelea kutii ila nyie Watz toleo la kale mnajifanya kichwa ngumu in short nyie Watz toleo la kale ndio mnaoitwa bongolala.
Mpuuzi usiyejielewa ! miye nipo huku Nairobi mwaka wa sita sasa!. Umekalisha makalio hapo dar nyuma ya key board! Siitetei Kenya ila ni vizuri ukawa objective wakati wa kuargue!
Mjadala huu umeendelea muda mrefu na nimekuwa mchangiaji mkubwa sijui nini kinakuwasha wewe!
 
Mpuuzi usiyejielewa ! miye nipo huku Nairobi mwaka wa sita sasa!. Umekalisha makalio hapo dar nyuma ya key board! Siitetei Kenya ila ni vizuri ukawa objective wakati wa kuargue!
Mjadala huu umeendelea muda mrefu na nimekuwa mchangiaji mkubwa sijui nini kinakuwasha wewe!
Upo wapi gikomba au, fala wewe kumbe mkundustan.
 
Back
Top Bottom