Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You should thank me for knowing that there are European countries that do not have electric trains which is directly opposite of what you believed. And yes, these countries are a million times better financially than your shithole country
Punguza wivu wa kike, ukizidiwa kubali. Hakuna uwezekano wowote wa kuifikia Tz kwa sasa, unalinganisha Tz na kanchi kenye uchumi wa $5 bn huna akili wewe. Uchumi wao wote haufikii thamani ya SGR ya Tz punga wewe.
 
Mzee hujui tu unavyoniudhi. Kwanini unaleta siasa za kutugawa watanzania. Unapata faida gani kuendekeza mambo haya. Itabidi nikufuatilie nijue nani anawalipa.
Kwahiyo wewe unaona sawa watu humu kukasirika mama kutumiwa pongezi za siku yake ya kuzaliwa? Kisa mwendazake hakuelewana na Wakundustan? Haya mbona hayakuwapo pre Sukumagang mentality era? Mbona kuelewana kwa Magufuli na Kagame hakukuleta figisufigisu kutoka kwa wafuasi wa JK? Au mnataka tufike mahali tusipeane pole kwenye majanga pia na majirani?
 
Tanzania kwa wakenya ni paradise..

Wanakuja kula bata Tanzania...

Screenshot_20230129-150035.jpg
 
Cyprus and Greece dugu moja Andorra and Spain dugu moja watu wa Catalan hao. All are principalities within a larger European states same as Zanzibar is a nation within Tanzania.
Cyprus and Greece are sovereign states, Zanzibar is part of Tanzania. Wacha kupotosha umma wewe
 
Wewe si Huwa unajifanya ni neutral? Ngoja wakupe vitasa 😂😂

Sukuma gang wananishangaza sana wako kama machadomo,wanakana kazi za Rais wa Sasa na kuona hazina maana huku wakitaka Mwendazake asifiwe tuu na asikosolewa ni dhambj manaa yeye ni malaika na kwamba marehemu hasemqi vibaya eti aachwe apumzike 😁😁😁😁

This is politics lazima watu wasemwe bila kujalisha wako hai au laa,Kwa mazuri au mabaya yote yana maana kwenye kujifunza.
Nilitaka kutype but nkakumbuka Mwanasheria wangu yupo Seoul
 
Back
Top Bottom