Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa muwe mnaandika vizuri Habari zenu, though this looks Handsome , How long are the Chinese going to enjoy this ?
Habari imeandikwa vizuri sioni kasoro. Contract ni ya miaka 27 wawe wamerudisha fedha zao na faida kiasi flani. Miaka itapungua kama watatimiza hilo lengo mapema
 
Pia Tanzania
FB_IMG_16746443128322396.jpg
 
single carriage roads? wacha zako wewe
Wew Jamaa Una ule ushamba wa kujiona Bora kumbe nothing....


Sam Nujoma road no Dual carriageway...
Njia ya sinza pia ukitokeza shekilango ni Dual...
Njia ya Mandela road ni Dual...
Njia ya Kawawa ni Dual...
Njia ya Bibi titi na ally Hassan mwinyi ni Dual....

Zote hiz dual unaweza tumia kuelekea airport bila kupita city centre....


Sijuo Dar unaichukuliage...na ndo mikenya mlivyo..hamna hata exposure ya kinachoendelea kwa majirani zenu.....
 
Wew Jamaa Una ule ushamba wa kujiona Bora kumbe nothing....


Sam Nujoma road no Dual carriageway...
Njia ya sinza pia ukitokeza shekilango ni Dual...
Njia ya Mandela road ni Dual...
Njia ya Kawawa ni Dual...
Njia ya Bibi titi na ally Hassan mwinyi ni Dual....

Zote hiz dual unaweza tumia kuelekea airport bila kupita city centre....


Sijuo Dar unaichukuliage...na ndo mikenya mlivyo..hamna hata exposure ya kinachoendelea kwa majirani zenu.....
Unajibu hiyo chizi vizur hivi .? Dar enyewe haliijui.. fikra zake linadhania linaweza ijua DAR kwa picha za humu JF 😂😂😂.. nimeshangaa likisema eti mtu akitokea bagamoyo kwenda kibaha ni lazima apite city center 😂😂😂 si ni ukichaa huo .. kuna njia kubwa sio chini ya Tano .. kwanza city center unaenda kufuata nini.? Unaenda kujumua Kariakoo au.? Wewe Mashashola unadhani unaijua DAR.? 😂😂😂
 
Habari imeandikwa vizuri sioni kasoro. Contract ni ya miaka 27 wawe wamerudisha fedha zao na faida kiasi flani. Miaka itapungua kama watatimiza hilo lengo mapema

Watatimiza lengo Lao mapema [emoji3]
Is there an independent third party to follow up on that au mnategemea wao waseme wametimiza lengo :
anyway, such projects should’ve been owned by some Local organizations, like some gov parastatals, the likes of pension funds, but provided that tuko na viongozi akili ndogo basi itakuwa hivyo daima ,
if the money remains within the boundaries that’s how we win, but having some small eyed Chinese exporting the entire revenues plus profits all the way to Beijing, it sucks.
 
Wewe kiande Mashashola njoo ujifunze DAR tahira wewe .. pitia hii 👇
stylized-map-streets-dar-es-260nw-2215383545.jpg
hii ni map ya DAR ya muda kidogo.. na ilikua ukitaka kufika popote sio lazima uingie city center.. mind you kwenye hii map. Kuna barabara za kucheba hazipo hapo ..

Hizo barabara sijui upite tegeta utokee mbezi Mwisho via madale (Hakuna kwenye hii ramani)

Barabara sijui upite mbezi beach via goba center to Survey (hakuna hapo kwenye ramani)

Barabara ya Sinza Bamaga via shekilango utokee Ubungo (hakuna hapo kwenye ramani)

Barabara mpya ya BRT inayoanzia pale kwenye kota za polisi barabara ya kilwa road via keko to ilala boma..

Hapo kwenye hiyo ramani pia hakuonekani barabara mya ocean drive to masaki (Tanzania bridge..

Nina swali la kukuuliza we kilaza mmoja.. hii idea ya kwamba eti mtu akitoka kibaha ni lazima apite city center umeipata wapi.? Mana hizo ni opposite direction, and by the way DAR City center Iko huko karibu na bahari ..😂😂😂 au ni ujuaji.?
 
Au ni hili neno bagamoyo road 👇
hotel-sea-cliff-map.gif
ndio lilomfanya huyo tahira ajue ukitoka bagamoyo ni lazima upite city center ndio uende kibaha 😂😂😂😂 .. Mashashola. Haya ona hapo chini ni njia ngapi unaweza tumia kufika Bagamoyo ukitoka kibaha na wala usiione city center hata kwa umbali .. hii nayo pia ni ramani ya kitambo inaonyesha mwisho Ubungo tu ..
 
It's not Fair to compare Abuja With Dodoma,Not fair at all...
Abuja is undoubtedly one of a well developed city in Nigeria,Smart And neat...
Dodoma is still Trying...

ABUJA CITYView attachment 2495420View attachment 2495421View attachment 2495422View attachment 2495423View attachment 2495424View attachment 2495425View attachment 2495426View attachment 2495427View attachment 2495428View attachment 2495429

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Usiwe na akili ya kitumwa, yn wewe tuusan utakuwa muoga muoga mpk lini, kila mji ukishindanishwa na mji wa nchi yako we unaona huo mji uko vzr kuliko mji wa nchini mwako, akili kama hizi huwa zinafanya watu design yako wawe wanapigwa pesa nyingi kwa kila anachotaka kununua lkn yeye akiuza chake anauza kwa bei ya kutupa mana siku zote anadharau chake kwa mazoea ya kijinga kama hayo yako.

Abuja ni kama Luanda au Nairobi, zote zinafanana tu.

Hii pia ni Abuja, mana wewe umeleta vipicha vya kaeneo kadogo ulinganishe na mji mpya unaopangwa kila angle [emoji116][emoji116]
image_downloader_1674659670131.jpg
image_downloader_1674659674372.jpg
image_downloader_1674659679156.jpg
image_downloader_1674659682304.jpg
image_downloader_1674659685152.jpg
image_downloader_1674659692373.jpg
image_downloader_1674659699809.jpg
image_downloader_1674659696727.jpg
image_downloader_1674659702975.jpg
image_downloader_1674659712542.jpg
image_downloader_1674659730628.jpg
image_downloader_1674659734189.jpg
 
Abuja na Nairobi ni baba mmoja. Usifananishe mji uliopangwa from the scratch na mji ambao tayari eneo kubwa lilishajengwa so wanaanza kujenga upya.

Mji kama Dodoma ni kama mpya, miji kama Dar, Nairobi, Abuja hiyo ilishajengwa eneo kubwa ndiyo maana iko hovyo sehemu kubwa.
image_downloader_1674659742290.jpg
image_downloader_1674659753996.jpg
image_downloader_1674659762856.jpg
image_downloader_1674659766832.jpg
image_downloader_1674659770921.jpg
image_downloader_1674659774084.jpg
 
Usiwe na akili ya kitumwa, yn wewe tuusan utakuwa muoga muoga mpk lini, kila mji ukishindanishwa na mji wa nchi yako we unaona huo mji uko vzr kuliko mji wa nchini mwako, akili kama hizi huwa zinafanya watu design yako wawe wanapigwa pesa nyingi kwa kila anachotaka kununua lkn yeye akiuza chake anauza kwa bei ya kutupa mana siku zote anadharau chake kwa mazoea ya kijinga kama hayo yako.

Abuja ni kama Luanda au Nairobi, zote zinafanana tu.

Hii pia ni Abuja, mana wewe umeleta vipicha vya kaeneo kadogo ulinganishe na mji mpya unaopangwa kila angle [emoji116][emoji116]View attachment 2495436View attachment 2495437View attachment 2495438View attachment 2495439View attachment 2495440View attachment 2495441View attachment 2495442View attachment 2495443View attachment 2495445View attachment 2495446View attachment 2495447View attachment 2495448
Shida yako ni unapenda sana kutumia nguvu na sio akili
Sasa umefika hadi hatua ya kumpangia mtu cha kusema?
Kwahyo miji ya wengine ndio ina slums ya nyumbani haina? Izo low income community Dodoma hazipo? Ukweli utabaki kua ukweli huwezi fananisha Abuja na Dodoma kwa sasa...Abuja imeshapiga Hatua .
Wakati serikali yetu inaweka mipango ya kuhamia Dodoma miaka hiyo Miaka ya sada ndio wameanza kua serious kwahyo ndio unataka kufananisha nguvu ya miaka 7 na nguvu ya miaka 30?
Kua serious kijana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
It's not Fair to compare Abuja With Dodoma,Not fair at all...
Abuja is undoubtedly one of a well developed city in Nigeria,Smart And neat...
Dodoma is still Trying...

ABUJA CITYView attachment 2495420View attachment 2495421View attachment 2495422View attachment 2495423View attachment 2495424View attachment 2495425View attachment 2495426View attachment 2495427View attachment 2495428View attachment 2495429

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa tulinganishe na new capital gani.? Kwasababu nimepitia gaborone ni aibu kuitaja kwenye sentence moja na DODOMA .. au labda DOM awe mdogo wa Abuja lakini sio hizo capital zingine mpya zilizojengwa hiv karibuni in sub Saharan Africa
 
Shida yako ni unapenda sana kutumia nguvu na sio akili
Sasa umefika hadi hatua ya kumpangia mtu cha kusema?
Kwahyo miji ya wengine ndio ina slums ya nyumbani haina? Izo low income community Dodoma hazipo? Ukweli utabaki kua ukweli huwezi fananisha Abuja na Dodoma kwa sasa...Abuja imeshapiga Hatua .
Wakati serikali yetu inaweka mipango ya kuhamia Dodoma miaka hiyo Miaka ya sada ndio wameanza kua serious kwahyo ndio unataka kufananisha nguvu ya miaka 7 na nguvu ya miaka 30?
Kua serious kijana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimepitia Abuja kwa google earth mzee hakuna mji wowote hapa East Africa wa kukaa sentence moja na Abuja kwenye issue ya real estate development .. jamaa ni Wana balaa duuh 🙌🙌
 
Wew Jamaa Una ule ushamba wa kujiona Bora kumbe nothing....


Sam Nujoma road no Dual carriageway...
Njia ya sinza pia ukitokeza shekilango ni Dual...
Njia ya Mandela road ni Dual...
Njia ya Kawawa ni Dual...
Njia ya Bibi titi na ally Hassan mwinyi ni Dual....

Zote hiz dual unaweza tumia kuelekea airport bila kupita city centre....


Sijuo Dar unaichukuliage...na ndo mikenya mlivyo..hamna hata exposure ya kinachoendelea kwa majirani zenu.....
Dar has more dual roads than Nairobi and Mombasa combined
 
Back
Top Bottom