Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya bana, juzi hapa ulikua unalialia kuhusu aliyekua anawapiga kwenye maparachichi, sasa leo umeibuka na mwingine anawapiga kwenye majani chai, huu ni ujasiri ambao siuwezi mimi....jamaa majasiri balaa.

Sema huyu anayewapiga kwenye majani chai naye angejua namna ya kula na kipofu, angezuia attention kwa kulipa hao Watanzania walalahoi mafao yao, avoid attention, endelea kutafuna hilo shamba la bibi bila kusababisha makelele na matukio, angeiga namna Wahindi na Waarabu na Wachna na hata Wasouth Afrika hufanya hapo Bongo, unajichukulia kimya kimya...
😂😂😂 Sasa mbona ni kama Magufuli hajafa sababu biashara za wakenya bado zinakula shubiri na joto ya jiwe wakati mama wa reconciliation alishasema vikwazo na wakenya kamaliza vyote? 😂 Sio wewe ulianzisha uzi kumpa kongole kwamba saivi ni mwendo wa kudemka tu sukumagang imeyeyuka? 😂
 
Ukisafiri na Basi Tanzania raha sana

FgJkLULXgAEIDKT


FgJkL4xX0AERWLs
 
kitu kimoja ninachofurahia kuhusu forum huu ni kwamba imenifunza kuzungumza kiswahili kwa kila mara...wakenya wengi hujifunza kiswahili shuleni ila wakimaliza shule ya sekondari wanazungumza kiswahili kisicho sahihi/sheng...
 
😂😂😂 Sasa mbona ni kama Magufuli hajafa sababu biashara za wakenya bado zinakula shubiri na joto ya jiwe wakati mama wa reconciliation alishasema vikwazo na wakenya kamaliza vyote? 😂 Sio wewe ulianzisha uzi kumpa kongole kwamba saivi ni mwendo wa kudemka tu sukumagang imeyeyuka? 😂

Huyo Mkenya alipaswa kuwapiga kimya kimya, kosa lilikua lake kuwanyanyasa nyie walalahoi wa kawaida, hapo simuungi mkono pia, hiyo nchi madini yote hayo na mapori yote inapaswa kuliwa bila kusababisha makelele, sikujua mnapigwa hadi kwenye majani chai.
 
Kwenye madini tu ndio Wasouth wametuwahi, na huko tungepiga, haipaswi mliwe na Wahindi, Waarabu na Wachina ila sisi tuambulie, lazima tupate mwanya. Huko yaani kila mtu anapiga, nimesoma sehemu nikajichekea sana kwamba mna chuo sijui Butiama huko hakijawahi kuwa na mwanafunzi hata mmoja ila kiapewa ruzuku kwa miaka 13.... aki ya nani usipotajirika hiyo nchi umelaaniwa.
Ndio mjue sasa Tz ni tajiri sn, huwa nawaambia wenzako humu na wanabisha kwamba uchumi halisi wa Tz ni $150b nadhani sasa wataamini mana umeongea wewe mme wao watakuelewa.

Nchi inapigwa kila angle lkn husikii watu kufa njaa wala tabu yoyote na mamiradi makubwa makubwa yanafanyika tu bila tabu yoyote. Nyie kanchi kenu mlijaribu kuiga matokeo yake mnakufa njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa nyinyi wapuuzi tukiwaambia magufuli alikua amekufa mlikua mnadhani ako ofisini na mafiles, a bunch of denialism halfwits [emoji23][emoji23]
Waliambiwa anachapa kazi, while the dude was already dead! Mibongolaa bana! 😃
 
Back
Top Bottom