Unauhakika na unachokisema?kweli nyie hamjui Dar vzrNikitoka Bagamoyo au kibaha kwenda airport lazima nipitie town kwa msongamano. Mombasa ishasolve hayo mashida kwa bypass
Hujui unachozungumza wewe kaa kimya ufiche ujinga wako.Nikitoka Bagamoyo au kibaha kwenda airport lazima nipitie town kwa msongamano. Mombasa ishasolve hayo mashida kwa bypass
This is poverty in real sense.
Na pia unaweza ukapita goba ukatokezea survey ubungo mandela pia hadi city centre au ukapira boko ukatokezea africana mbezi kawe mikocheni mpaka City centreUnauhakika na unachokisema?kweli nyie hamjui Dar vzr
Ukitoka bagamoyo huna haja ya kwenda city centre labda kama unataka Tu kuzurura....
Kina njia zifuatazo....
Unaweza pitia njia ya madale...ukotokeza mbezi Magufuli bus terminal....ukapita kifuru.kinyerezi malamba mawili Airport...
Unaweza pitia Goba Road..ukatokeza mbezi mwisho...kifuru... malamba mawili Airport..
Unaweza pitia Sam Nujoma Road..ukapita Ubungo interchange...Mandela road then Mfugale flyover to Airport...Barabara hii ni Dual ..
Unaweza pia Kawawa road..via magomeni then chang'ombs flyover to Airport....
Unaweza pitia bagamoyo...Bibi titi then Nyerere road to Airport....
Indicator of poverty
Basi ama pisi?Ukisafiri na Basi Tanzania raha sana
![]()
![]()
Wewe unanona pisi au basi?Basi ama pisi?
Wajamaa walitutusi na kusema tuna royo mbaya, then the guy ends up being dead bana[emoji2297] facts na mibongolala thoughWaliambiwa anachapa kazi, while the dude was already dead! Mibongolaa bana! [emoji2]
Labda ni Tanzanian vehicles akina ichogal and the rest haters[emoji23]Magari 7.6M zilkua zimetumia "tembo mweupe [emoji28]" between May hadi December
Mimi naona pisi basi wacha mwenye hawezi panda ndege apande.Basi za Shabiby lakini zimeweza the guy has standardsWewe unanona pisi au basi?
Naona unanichukia sana 🤣🤣🤣 au nawanyima usingiziLabda ni Tanzanian vehicles akina ichogal and the rest haters[emoji23]
Sikajuelewa ulichoandika. Hebu nyoosha maelezoMimi naona pisi basi wacha mwenye hawezi panda ndege apande.Basi za Shabiby lakini zimeweza the guy has standards
Hebu tuambie hawa watu milioni 7 familia yako ni milioni ngapi hapo[emoji23].Usilie kuona wakenya wanapesa inajulikana hioNaona unanichukia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au nawanyima usingizi
Ajira hakuna kabisa Kenya thus y majority of kundustan in here ni jobless, Wakenya wana na shida sn asikuambie mtu.
Ukinionesha gari tano zimeongozana kwenye hyo expressway ya mchina naondoka jamiiforums [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu tuambie hawa watu milioni 7 familia yako ni milioni ngapi hapo[emoji23].Usilie kuona wakenya wanapesa inajulikana hio